Tufanye ndio kweli kazuiwa basi atuwekee ushahidi.Kipi hukijui kwenye awamu hii ?
Nasubiri siku na yeye akihojiwa na Muzungu BBC
Contradictions Mkuu. You say nobody is scared of what she says, and yet all she does is antagonize the president. How then, does she antagonize the president, by whipping him at night when we are not there?Woman please!!
Who’s scared of what you got to say?
Stop being a narcissist.
All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?
Sasa hadi tweet fake zinatengenezwa.Kipi hukijui kwenye awamu hii ?
You don't "just go" my friend. Kama mgeni rasmi katoa order yake kwamba Rais wa TLS asifike pale, hafiki. Ndio tulipofika sasa.jamani huyu nae.. sasa nani anamuogopa? mbona anapenda kujiashua? you just go usilete sababu..
Yaaan East Africa haijapata Rais Mbabe Na Jeuri walau wa kufikia nusu ya KarumeKwa bahati mbaya wakati wa utawala wa Babu yake nyie aidha mlikuwa vichelema au hamjazaliwa. Karume alikuwa dikiteta na muuaji. Nyani haoni......
That is a reasonable question.if you are not scared of her, why stopping her to attend law day
Nafikiri uko sahihi; ingekuwa vema kunyamaza tu baada ya kuzuiwa kuhudhuria Law Day halaf aitishe tu press conference. Bila shaka wako watu hawapendi mkuu asikie ukweli mchungu; ni lazima kuna kitu wanaogopa kiko ndani ya speech ya shangazi!Woman please!!
Who’s scared of what you got to say?
Stop being a narcissist.
All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?
Fine. Call your press conference and say what you want to say and stop whining about not getting an invite.
Kwahiyo hii ndio inahalalisha mauaji mnayoyafanya ?Kwa bahati mbaya wakati wa utawala wa Babu yake nyie aidha mlikuwa vichelema au hamjazaliwa. Karume alikuwa dikiteta na muuaji. Nyani haoni......
Woman please!!
Who’s scared of what you got to say?
Stop being a narcissist.
All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?
Fine. Call your press conference and say what you want to say and stop whining about not getting an invite.
Woman please!!
Who’s scared of what you got to say?
Stop being a narcissist.
All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?
Fine. Call your press conference and say what you want to say and stop whining about not getting an invite.
Aweke ushahidi gani kwa mfano? Barua aliyoandikiwa au sauti ya aliyemzuia?Tufanye ndio kweli kazuiwa basi atuwekee ushahidi.
Teknolojia imeendelea sana alikuwa anaweza kabisa kuweka ushahidi ili huko baadae uje utumike kwenye vyombo husika.
Hivi alivyo fanya ni kama mimi naweza kusema Fatma Karume kanizuia nisiende ofisi za TLS lakini siweki ushahidi na wewe unataka watu waamini madai yangu.
Kwanini mnasema wako watu , kwanini isiwe mkuu mwenyewe ?Nafikiri uko sahihi; ingekuwa vema kunyamaza tu baada ya kuzuiwa kuhudhuria Law Day halaf aitishe tu press conference. Bila shaka wako watu hawapendi mkuu asikie ukweli mchungu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kiongozi wa juu wa Serikali akaekwenda Mbinguni. Labada haya maandiko iwe ni uongo.Viongozi wengi wa siasa kuingia mbinguni ni mbinde sana kwani wapo Tatar kuua na kutundulisu
Hahahahahaah!!!!! at least she got you whinning as well!!; she has made her point.Woman please!!
Who’s scared of what you got to say?
Stop being a narcissist.
All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?
Fine. Call your press conference and say what you want to say and stop whining about not getting an invite.