Fatuma Karume aanza ‘kushughulikiwa’

Fatuma Karume aanza ‘kushughulikiwa’

Nasubiri siku na yeye akihojiwa na Muzungu BBC tusikie uhodari wa Kidhungu kwa maana kama kilaza mwenzie pia hujifanya mabingwa wa english ila wakikutana na mwenyewe Muzungu native speaker wanaanza kujiuma uma, you know Sackur nyiingi, hata anachoulizwa hakielewi!
Lissu is a very good English speaker far better than your godfather

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila magu kiingereza anakijua sana

Sent using Jamii Forums mobile app


Magufuli siyo native speaker wa english, hajawahi kuishi Uingereza na wala hajawahi kujitamba popote kwamba anajua english, ila Tundu Lisu siku zote hujifanya yeye ndo mtaalamu wa english language, kuna siku alisema Bungeni kwamba Majaji wetu wa Tanzania wote hawajui kiingereza, sasa kama mtu anaweza kusema hivyo tena Bungeni nilitegema basi yeye awe ni kama native speaker, lkn kumbe hamn kitu, makosa ya kigrammer kibao, hata maswali hayaelewi vizuri
 
Nasubiri siku na yeye akihojiwa na Muzungu BBC tusikie uhodari wa Kidhungu kwa maana kama kilaza mwenzie pia hujifanya mabingwa wa english ila wakikutana na mwenyewe Muzungu native speaker wanaanza kujiuma uma, you know Sackur nyiingi, hata anachoulizwa hakielewi!
Jifunze kuendana na kinachojadiliwa kwenye uzi husika.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli siyo native speaker wa english, hajawahi kuishi Uingereza na wala hajawahi kujitamba popote kwamba anajua english, ila Tundu Lisu siku zote hujifanya yeye ndo mtaalamu wa english language, kuna siku alisema Bungeni kwamba Majaji wetu wa Tanzania wote hawajui kiingereza, sasa kama mtu anaweza kusema hivyo tena Bungeni nilitegema basi yeye awe ni kama native speaker, lkn kumbe hamn kitu, makosa ya kigrammer kibao, hata maswali hayaelewi vizuri
MAGUFULI alisema sio kwamba hajui kingereza Bali hapendi tu kuongea kingereza

Namnukuu, "wengine wanasema sijui Kingereza, Sasa ningeandikaje theses zangu za chuo?"



Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAGUFULI alisema sio kwamba hajui kingereza Bali hapendi tu kuongea kingereza

Namnukuu, "wengine wanasema sijui Kingereza, Sasa ningeandikaje theses zangu za chuo?"



Sent using Jamii Forums mobile app


Lkn huko siyo kujisifu, ni tofauti na kuhukumu kwamba majaji wote wa JMTZ hawajui kiingereza kama Tundu Lisu alivyosema!
 
Hujaelewa mkuu. Ni kuwa kapata "invite" kutoka Judiciary kwa nafasi ya TLS ni mdau wa mahakama so kapewa na aliiweka hio barua jana twitter

Ila mkanganyiko ni kuwa mgeni rasmi pia ni Mh Rais kwenye hiyo Law Day

Sasa hao watu wa "Ikulu" anaodai wamemfwata kuwa asiende

Mpaka sahivi ni "madai" tu aliyoyasema yeye na pia kasema kama wanataka asiende wampe barua ya kumzui. Kitu ambacho ni kigumu kufanyika/kuamini kuwa kweli wamemwambia hayo.
Ila swala la invite anayo tayari
Watu wanajifunza kutokana na makosa,unakumbuka zile dakika tatu za Mnyika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anafiliri ikulu ya vuga ndio ya magogoni. kunatofauti kubwa saana

Yaani wewe unaona watu na mawazo yao ni haki kua bullied namna hii?

Shame on you!

Such a horrible person!

You scared of people free thinking and beliefs!
 
jamani huyu nae.. sasa nani anamuogopa? mbona anapenda kujiashua? you just go usilete sababu..

He!

Mtu amefatwa na kuzuiwa na TISS minions,halafu unasema nani anamuogopa!?

D'yu have any ounce of gray matter in yo' coconut kweli?
 
Ndio maana nimeacha ushabiki "maandazi" kwa hawa "watetezi". Mbona hakufanya hizi harakati kwenye utawala wa baba yake? Alafu watoto hawa wa wakubwa bana you better be extra careful, hivi mnafiriki system ingetaka anyamaze ingeshindwa? Sometimes inabidi kujiongeza then unakazana na kusaka ugali wa watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
unasimamia nini ?
 
D'yu have any proof whatsoever?

Au aliku-lesbian wewe labda utupe proof yako?

Na ingependeza zaidi kama ungetusaidia ku-attack hoja zake ili tujue una mbadala gani!
Hujui kama keyboard zina auto correction,na nilikuwa na type huku natembea,uliza kwanza kama nilimaanisha kilichoandikwa au laa,upo res sana hufai hata kidogo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom