Fatuma Karume aanza ‘kushughulikiwa’

Fatuma Karume aanza ‘kushughulikiwa’

Bwana fulani ni bonge la coward!

yaani utayasema haya mpaka unakufa

he is there to stay, mpaka muda wake uishe

atakuja mwingine nae utamchukia hivi hivi

acheni chuki, hata kama kaharibu ulaji wenu
 
Woman please!!

Who’s scared of what you got to say?

Stop being a narcissist.

All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?

Fine. Call your press conference and say what you want to say and stop whining about not getting an invite.
Unajishushia hadhi yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woman please!!

Who’s scared of what you got to say?

Stop being a narcissist.

All you do is antagonize the president and you expect him and his people to invite you to their events?

Fine. Call your press conference and say what you want to say and stop whining about not getting an invite.
Kumbe we ndo usalama wa Taifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya TISS sivyo kuhakikisha kwamba RAIS hachukizwi na maneno ya watu. Kazi ya TISS ni kumshauri Rais wananchi wanasema nini ili aweze kurekebisha POLICY zake. Hawa wanataka nisiende Law Day kwa sababu wanaogopa speech yangu. Are you people serious? Mnaogopa MAWAZO na MANENO🤣

Mediocrity ya thinking ya hao watu wa “IKULU”: tusema mnanistoppisha kwenda Law Day si nitaita Press Conference na nitasema. Hayo maneno nitayoyasema Magu hatoyasikia?Na political repercussions mnazijua? Come on people THINK before you ACT! 🤦🏻‍♀️ And LEARN FROM YOUR ERRORS!🤦🏻‍♀️
View attachment 1008600

View attachment 1008601
Ivi vialama Kama mtu na msalaba mwisho wa tweet YA Shangazi vinamaana gani Wajuzi wa mambo tusaidieni
 
Umejuaje kafuatwa kweli?
Au ni hiyo Tweet pekee? Unaujua ukweli wake?
Jifunze kuhoji kila kitu

Tuseme sijui kama kafuatwa,wewe pia umejuaje kama hajafuatwa?

Nyani haoni kundule eee?

Rule of thumb inasemaje?

Yeye ni mtu mzima mwenye akili timamu,ana cheo kwenye jamii,anaaminika ndio maana jamii imempa cheo fulani,anachokisema tunachukulia kwa uzito wake baadae ndio tutajua kama ni mkweli au si mkweli,ila sasa tunachukulia seriously akisemacho!

Hatuwezi ignore,maana ni mtu mwenye public trust ana anaheshimika na jamii!

Wewe unataka tu-ignore kwa kukusikiliza ukisemacho wewe binafsi bila any proof whatsoever,which ni ujinga!

Tungekuamini walao kama ungekua na known trust ya jamii,ila nobody knows your ass,!

Tukuamini wewe au Fatma Karume?

I bet'chu know the answer to that!
 
Kwahilo wala sina shaka huwenda ana watu wake aliwarenga.

Wanawake wenzie.
Aliwarenga ndio Kiswahili cha wapi?
Ndio maana nimesema elimu yako finyu huwezi mwelewa shangazi wa taifa.
Hata ujiite una dushe kama SMG bado unaonekana bwabwa tu.
Rudi shule kasome hata MEMKWA si wanasema elimu bure,achana kujadili mambo makubwa zaidi ya elimu na IQ yako!!
 
Tuseme sijui kama kafuatwa,wewe pia umejuaje kama hajafuatwa?

Nyani haoni kundule eee?

Rule of thumb inasemaje?

Yeye ni mtu mzima mwenye akili timamu,ana cheo kwenye jamii,anaaminika ndio maana jamii imempa cheo fulani,anachokisema tunachukulia kwa uzito wake baadae ndio tutajua kama ni mkweli au si mkweli,ila sasa tunachukulia seriously akisemacho!

Hatuwezi ignore,maana ni mtu mwenye public trust ana anaheshimika na jamii!

Wewe unataka tu-ignore kwa kukusikiliza ukisemacho wewe binafsi bila any proof whatsoever,which ni ujinga!

Tungekuamini walao kama ungekua na known trust ya jamii,ila nobody knows your ass,!

Tukuamini wewe au Fatma Karume?

I bet'chu know the answer to that!
Akirudi nistue
 
Back
Top Bottom