Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,772
- 25,413
very good is relative, bado hajui kuongea english vizuri, ushahidi upo wazi ingawaje anafikiri anajua, hata maswali tu ya Muzungu hayaelewi, anaulizwa hivi anajibu vile!
Labda Bwana Barbarosa,unafananisha English ya Lissu na nani labda?
Tuanzie hapo!
Maana huwezi kua na mamlaka ya kusema hajui English wakati wewe mwenyewe ni hovyo,then compare na bwana wako,ni even worse,sasa sijui utakua unamtumia nani kama base?