DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Mbona wewe hujawekeza. Sasa wewe unatumia muda wote kumtetea Pogba na ujinga wakeSasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Mbona wewe hujawekeza. Sasa wewe unatumia muda wote kumtetea Pogba na ujinga wakeSasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Upuuzi mtupu.Mbona wewe hujawekeza. Sasa wewe unatumia muda wote kumtetea Pogba na ujinga wake
ukweli unauma japo hatupendi kuusikia.Habari ndio hiyo yaani aibu hiyo tofauti daa!halafu tunaimbishwa nchi hii ni tajiri sana INA lasilimali nyingi hahaaaa laana ipo mahali.Huyu anayeitwa shangazi mbona ni mlalamishi sana???!!! Dah...
Upo sahihi mkuu kama nchi hii watu wengi wangekuwa werevu ccm hata wangeiba kura vipi isingesaidia maana zingekuwa nyingi kupita kiasi zinazo wakataa lakini shule za kata ni kiwanda cha kuzalisha majinga kwa maelfu kila mwaka.Upo sahihi watanzania wengi karibia 95% ni wajinga ndio maana tunachagua wajinga wenzetu wawe viongozi.
Ni lazima tujikomboe kifra kwanza.
Hasa ukizingatia hao SWAPO tumewasaidia sana kwenye vita yao ya kujikomboa leo wanatuacha kwa tofauti hiyo SHAME.Ujumbe mfupi, lakini ni wenye uzito mkubwa sana!
Ingependeza sana watu wakaujadili 'ujumbe' kwa kina kuliko kumjadili aliyeleta ujumbe!
Bila shaka CCM wanakereka sana na taarifa kama hii, maanake inaumiza sana, na ni taarifa inayoeleweka kirahisi na wengi.
Umechanganyikiwa jibu hoja mkuu huna kaa kimya haina haja tuujue ujinga wako.Huyu mtu anaweweseko la roho tu.it has nothing to do with watanzania. Angeweka tu mambo hadharani tujue tumsaidieje,sema watu wanamshabikia as if anawapeeeenda. Hata leo tu akipewa hata kaukurugenzi humsikii tena.
Jibu hoja acha ngonjera wanyakyusa tunaingiaje hapo!!??Wapi aliwahi sema Asante CCM kwa kumpa hata baba yake uraisi.wanyakyusa Akina Tulia naibu Spika hata ukimpa parachichi baba yake au mama yake lazima aseme Asante na kulia akipiga magoti akitamka kinyakyusa kuwa kyala akutule yaani Mungu akubariki Asante kwa kwa kumpa baba au mama parachichi akiwa na ndugu zake huku wanagalagala chini kuwa sisi hatujampa baba parachichi tunawashukuru sana kumpa baba au mama yetu parachichi .Huyu fatuma Hana hata shukrani ya kushukuru kuwa CCM ilimpa Cha maana baba yake au babu Yake au Kaka zake? loo !!!sijaona mtu asiye na shukrani Kama Fatuma Karume serious.Lini aliandika mitandaoni kushukuru CCM ?
Ndio shida ya wasomi uchwara wa Tanzania, kutwa wanahangaika kukwamisha maendeleo badala ya kuja na solutions za matatizo, hovyo kabisa huyu shangazi labda kwa sababu anajua kiingereza lakini kichwani zero
Itungwe sheria mwanamke akifika miaka 30 hajaolewa akamatweSasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
ukweli unauma japo hatupendi kuusikia.Habari ndio hiyo yaani aibu hiyo tofauti daa!halafu tunaimbishwa nchi hii ni tajiri sana INA lasilimali nyingi hahaaaa laana ipo mahali.
Nadhan hii ya yote yangu na huyu wa bara asaiv anayoKama hujui kaa kimya alie ondoka mapema ni babu yake na kama hujuw baba yake ni karume wa pili na yeye alikuwa Rais. Ila ndio kama vile alikuwa yote yangu.... Safiri znz ukasikie mengi
mkuuSasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Huo ndo uwekezaji yy anawekeza kwenye akili zetu halafu sisis ndo tuwekezeSasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Kawaza mambo kwa kina na bado majibu hana. Uwezo wa Mungu unaonekana angeamua ingewezekana...
Unatafuta bwana? Baba yako alikuwa Rais Zanziba unamdalilisha. Tulia huko.
GDP per capita ya Tz ni $ 936
GDP per capita ya Namibia ni $ 5,227
Ni kuweka data sahihi..