Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,828
Baba yake anaingiaje kwenye hiyo tweet?Mbona hakumshauri baba yake alipokuwa rais? Mambo mengine watu wanapiga kelele kwa sababu nyingine kabisa na siyo kama wana uchungu na wananchi! Miaka yote nchi yetu imekuwa inasaidiwa na nchi zenye population ndogo kabisa kulinganisha na sisi! Leo ndiyo ameona?
ficha ukiazi huo.