Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Anaacha kutafuta mume aolewe atengeneze familia yeye anambwela tu huko twiter huku uzee unamnyemelea
 
We pumba
Mbona hakumshauri baba yake alipokuwa rais? Mambo mengine watu wanapiga kelele kwa sababu nyingine kabisa na siyo kama wana uchungu na wananchi! Miaka yote nchi yetu imekuwa inasaidiwa na nchi zenye population ndogo kabisa kulinganisha na sisi! Leo ndiyo ameona?
We kenge tuu umejuaje kuwa hakumshauri?
Sasa ndo anamshauri asiye shaurika
 
Baba yake ni baba yake!

Sasa sijui unachukua matendo ya mtu A unamhukumu mtu B?

Hivi wewe tukikuita kichaa utakasirika kweli?
Basi anatakiwa awe anamuorodhesha pia anapotaja udhaifu wa ccm.

Asijifanye hajui chochote.
 
Basi anatakiwa awe anamuorodhesha pia anapotaja udhaifu wa ccm.

Asijifanye hajui chochote.
Akitaja CCM ina maana babu yake na baba yake ni obviously wamo ndani maana walikua wanachama na viongozi wake at some point in time

Sasa wewe sijui unasema madudu gani hasa?
 
Akitaja CCM ina maana babu yake na baba yake ni obviously wamo ndani maana walikua wanachama na viongozi wake at some point in time

Sasa wewe sijui unasema madudu gani hasa?
Tumia akili mkuu, wewe ni zaidi ya nyumbu.
 
Tumia akili mkuu, wewe ni zaidi ya nyumbu.
Naona umeishia kuita nyumbu hujajikita kwenye kujibu hoja...

Walao ungejibu hoja husika halafu mwisho wa sentensi utukane kama nilivyofanya mimi....

Tatizo umeenda direct kwenye tusi which shows how shitty you are!
 
Naona umeishia kuita nyumbu hujajikita kwenye kujibu hoja...

Walao ungejibu hoja husika halafu mwisho wa sentensi utukane kama nilivyofanya mimi....

Tatizo ni direct kwenye tusi which shows how shitty you are!
Sioni hoja yoyote, ndio maana nikakuhimiza kutumia akili yako sawa sawa. Au bado hutaki nikulazimishe???

Haya twende.
GDP per capital ya tz ni ngapi???shangazi yako hajui, inawezekana hata hajui pia babu yake na baba yake ni waasisi wa ccm.
 
Sioni hoja yoyote, ndio maana nikakuhimiza kutumia akili yako sawa sawa. Au bado hutaki nikulazimishe???
Ungeainisha sio hoja kwa sababu gani ueleweke!

Kunyamazia ni kwamba hatujui kama umeiogopa au kweli haina hoja,hivyo ungeeleza ili tujue...

Jipange!
Haya twende.
GDP per capital ya tz ni ngapi???shangazi yako hajui, inawezekana hata hajui pia babu yake na baba yake ni waasisi wa ccm.
Bro naona umepandisha kichaa.

GDP per capita na sio GDP per capital uliyoandika wewe!

Na GDP ya bongo ni ya nini hapa?Kwa maana GDP per capita ya TZ ni bora sana?

Sijakuelewa kabisa!
 
Wakati ukuta waache wapinge kisha watajua ukweli kama haufichiki kama gonorhea kwani utajikuna tu sehemu zenye watu
 
Ungeainisha sio hoja kwa sababu gani ueleweke!

Kunyamazia ni kwamba hatujui kama umeiogopa au kweli haina hoja,hivyo ungeeleza ili tujue...

Jipange!

Bro naona umepandisha kichaa.

GDP per capita na sio GDP per capital uliyoandika wewe!

Na GDP ya bongo ni ya nini hapa?Kwa maana GDP per capita ya TZ ni bora sana?

Sijakuelewa kabisa!
Embu soma swali kwa utulivu ndipo ujibu, haraka za nini??

GDP per capital ya tz, wewe unaijua au ulitegemea shangazi yako akuandikie kama alivyofanya??
 
Back
Top Bottom