Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,101
- 32,922
Unachosha na vijistori vyako visivyo na mbele wala nyuma. Hebu nenda zako huko.Uliposema nisilazimishe ndio nakwambia waliokuteua bora wangekupa nafasi ya Humphrey!! Hapo unatumia kodi zetu bila ya kuleta mabadiliko ya maana kwa vijana.
Yaani kushindana na "Dangote" badala ya kuja na mikakati ya kuwasaidia vijana wenzako wanaomaliza kidato cha Nne, sita, na kwenye vyuo mbali mbali ni matumizi mabaya ya kodi zetu.