Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Ujana wako na zile kelele zako ulipotoka CHADEMA zilizifanya mamlaka za uteuzi zione labda utaleta mabadiliko kwa vijana, lakini imekuwa kinyume chake!

Nitafurahi ukionesha kwamba una uwezo zaidi kuliko huu wa kushinda JF kuishambulia CHADEMA.
Tafuta kazi ya kufanya. Naona bando za Mashinji zinakuchengua.
 
Tafuta kazi ya kufanya. Naona bando za Mashinji zinakuchengua.
Kazi zangu hazitumii kodi za watanzania tofauti na ya kwako. Fanya kazi ya kubadili maisha ya vijana. Wengine wanajiingiza kwenye ukahaba na matumizi ya madawa ya kulevya kwa kuwa hawana kazi.

Kila siku inayopita jiulize umefanya nini kubadili maisha ya vijana wa Tanzania kupitia nafasi uliyo nayo. UNAIANGUSHA SANA MAMLAKA ILIYOKUTEUA.
 
Kazi zangu hazitumii kodi za watanzania tofauti na ya kwako. Fanya kazi ya kubadili maisha ya vijana. Wengine wanajiingiza kwenye ukahaba na matumizi ya madawa ya kulevya kwa kuwa hawana kazi.

Kila siku inayopita jiulize umefanya nini kubadili maisha ya vijana wa Tanzania kupitia nafasi uliyo nayo. UNAIANGUSHA SANA MAMLAKA ILIYOKUTEUA.
Mashinji anapoteza bure hela za bando kwa makamanda uchwara.
 
Mashinji anapoteza bure hela za bando kwa makamanda uchwara.
Umewahi kuwaza kwamba bahati uliyopata huwa haitokei mara nyingi kwenye maisha ya binadamu? Unatakiwa ukiwa umeondoka kwenye hiyo nafasi vijana wenzako wa sasa na wa baadae wakukumbuke kwa kubadilisha maisha ya vijana.
 
Huu ugojwa wa kulalamikia serikali nilikuwa nao hasi pindi nilipo kuwa Na umri chini ya Miaka 30. lakinia nimekuja kugundua uvivu/ umasikini wa vikra ndio unao liangamiza taifa letu hasa kwa Wasomi lazima tutambue kuwa jukumu la kuendeleza taifa letu ni la kila Mtanzania kwa nafasi yake na zio kwa viongozi tu. Kiongozi asipokuwa na support kutoka kwa wanaichi hakuna litakalo fanikiwa. Tu msupport rais wetu ili Taifa liendelee. Viva My President...
 
Baba yake na yeye kuna mahusiano gani kama binaadamu waliobeba kila mtu kichwa chake!
Kuwa na kaakili hata kadogo basi.
Hatari wallah!Kama babaake na yeye hakuna uhusiano !! mmmh ibada njema huanzia ugenini siku hizi.
 
Tanzanians are still living in the dark ages. Living in barbaric and primitive life. Most Tanzanians except Zito Kabwe, Tundu Lisu, Fatuma karma are yes men as they always bow and accept something without questioning it. Even if when stupid matters are done by their leaders, they can't take any action but end up lamenting and yawning. And that's why what they are today is the result of their stupid & weak mind, unreasonableness, laziness, etc.

Surely, Tanzania is endowed with lots of minerals, yet is an impoverished country in the world. This is due to the fact that their leaders are criminals, corrupted, robbers and thieves. Just take an example of the saga of ESCROW etc. They have never initiated any legal action against those criminals. This is what we call unreasonableness, weak mind etc.
 
Ujana wako na zile kelele zako ulipotoka CHADEMA zilizifanya mamlaka za uteuzi zione labda utaleta mabadiliko kwa vijana, lakini imekuwa kinyume chake!

Nitafurahi ukionesha kwamba una uwezo zaidi kuliko huu wa kushinda JF kuishambulia CHADEMA.
kwa sasa hayuko Sawa Mkuu.......huyu kijana ni Mgonjwa........Kichwani kwishinei.....
 
Ujana wako na zile kelele zako ulipotoka CHADEMA zilizifanya mamlaka za uteuzi zione labda utaleta mabadiliko kwa vijana, lakini imekuwa kinyume chake!

Nitafurahi ukionesha kwamba una uwezo zaidi kuliko huu wa kushinda JF kuishambulia CHADEMA.
Huyu kijana ni Mjinga sana na inatakiwa apewe Darasa njinsi ya kutoa Comments zake hasa humu kwenye JF ameanza kuota "Majipu" kwenye makwapa.......!!!! Amepoteza uelekeo......
 
Back
Top Bottom