Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Cheap shots aka vijembe pembeni, alicho andika Shangazi ni rock solid facts aka ukweli mtupu.
 
Ujumbe mfupi, lakini ni wenye uzito mkubwa sana!

Ingependeza sana watu wakaujadili 'ujumbe' kwa kina kuliko kumjadili aliyeleta ujumbe!

Bila shaka CCM wanakereka sana na taarifa kama hii, maanake inaumiza sana, na ni taarifa inayoeleweka kirahisi na wengi.
 
Una uelewa mpana mkuu..mfano wake ni chifu Mangungo wa Msowero.
Tukiwa na wapiga kura mil.tano kama wewe,ccm itatawala milele
Mbona hakumshauri baba yake alipokuwa rais? Mambo mengine watu wanapiga kelele kwa sababu nyingine kabisa na siyo kama wana uchungu na wananchi! Miaka yote nchi yetu imekuwa inasaidiwa na nchi zenye population ndogo kabisa kulinganisha na sisi! Leo ndiyo ameona?
 
Una uelewa mpana mkuu..mfano wake ni chifu Mangungo wa Msowero.
Tukiwa na wapiga kura mil.tano kama wewe,ccm itatawala milele
Nakuhakikishia Chifu Mangungo alikuwa na akili kuliko viongozi wengi unaowana leo. Karume wakati wa uchaguzi waliuawa wazanzibar wangapi? Mangungo kipindi chake waliuawa wananchi wangapi?
 
hahahaha Mbona kipindi cha baba yake zanibar ilikuwa na watu chini ya million moja na bado walipokea misaada ya nchi ndogo?
 
Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Kaka amka, usipitwe na wakati, hii ni karne ya Information Technology(IT), Trump kutwa kucha yuko Twitter, usishangae kumuona Fatma Karume kushinda mitandaoni..
 
Back
Top Bottom