Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
mkuu ila hoja ya shangazi umeilewa ? Unadhani why hawawekezi badala yake wanaishia kulalamika?je zaidi ya yeye kutokuwekeza na kuishia kulalamika kwenye utawala wa ccm huoni tatizo
 
Hili demu ni mkosi, bibi kizee, lakini linajifanya binti , mgongo mapaja nje, haliheshimu hata mafundisho ya dini
Mkuu kwani nilichokukasirisha kwenye hiyo post ya Fatuma ni nini?
 
Akamuulize baba yake ilikuwaje akashindwa kuifanya Zanzibar kuwa Dubai of Africa.
Atampa jibu lilelile kama ambavyo ungeuliza wewe ndio maana shangazi kahamua kupambana kivyake, mpaka hapo tumpongeze na kumtia moyo; Ila Nyerere alitwambia hivi ukiona mtu anakudanganya na huku unajua kuwa ananidanganya yaani ukakuba uongo wake basi wewe ni mpumbavu sana, sasa Shangazi si mpumbavu hata kama ni baba alitawala
 
Hiyo GDP kwa Tz imeshafikia $900+ kwa mujibu wa world bank record 2019
Swali ni je sisi watanzania tumeshindwa wapi? Tunatakiwa kufanya nini???
Nadhani majority yetu tz ni wajinga
Na tunawaweka viongozi wasio na maono sahihi ya maendeleo ama hawaelewi vipaumbele sahihi vinavyokwenda sambamba na ukuaji wa uchumi
 
Nadhani majority yetu tz ni wajinga
Na tunawaweka viongozi wasio na maono sahihi ya maendeleo ama hawaelewi vipaumbele sahihi vinavyokwenda sambamba na ukuaji wa uchumi
Tunaweka vilaza na kwa kuwa sisi ni wajinga bado tunaamini kilaza atutoe hapa tulipokwama,yani mtu aliyefeli mitihani akaishia kuwa mwalimu wa secondary sijui shuka ya msingi eti ndo tunategemea atufikishe kwenye uchumi wa kazi,si maajabu hayo
 
GDP per capita ya Tz ni $ 936

GDP per capita ya Namibia ni $ 5,227

Ni kuweka data sahihi..
 

IMG_8559.JPG


Per capita sio kigezo kuwa uchumi ni mzuri. Kwa mfano Kenya kuna mabepari wachache wanamiliki uchumi na kuna maskini wa kiwango cha treni ya mwendokasi
 
Back
Top Bottom