Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Huyu mwanamke anawashwa sana sasa bahati mbaya videm ambavyo havina nyama sivipendi maana huyu ninget......mba hata kwa kumuendea kwa mganga nilivo simpendi.
Eti unajiita "Mnyaluhala!". Luhala gani hulo? Kilangila.
 
mtu akihoji ni mlalamishi.Wapinzani walivyosusia vikao vya bunge kupinga hati ya dharura ni mlisema walalamishi na wanakwamisha maendeleo ya haraka kwa kumaanisha kuwa eti kusaini haraka ili gesi izalishwe ndo maendeleo ya haraka.Saiz gas ishapotea
Tuliaminishwa kwamba gesi itamaliza matatizo ya Umeme. Leo tunaambiwa Stigglers Gorge, baada ya hapo sijui watakuja na wimbo gani. Kilangila.
 
Back
Top Bottom