Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 10,500
- 17,554
Tatizo la hii nchi ni ccm. Huo ndio ukweli
Kusema ukweli ni kulalamika.?! Mtu mzima hovyo sanaHuyu anayeitwa shangazi mbona ni mlalamishi sana???!!! Dah...
Unaona zuzu mwingine huyu! Mazee alimpea huo ushauri jikoni? Mbona hakujitokeza hadharani kama sasa?We unajuwaje hajamshauri baba yake... Wewe umewai kumpa ushauri gani baba yako ..na akaupoke..??? watu wengine mnaongea kama mmekali ...#@@$$###
Niambie ni wapi alipoitukana ccm?.Kala vya CCM kavimbiwa sasa anatukana CCM iliyomlisha hadi kuvimbiwa
CCM siku zote wanakereka na hoja kama hizi zinazowashtua Watanzania kutoka usingizini. Ndio maana kwenye huu uzi wamejazana kumshambulia Bi. Fatma.Ujumbe mfupi, lakini ni wenye uzito mkubwa sana!
Ingependeza sana watu wakaujadili 'ujumbe' kwa kina kuliko kumjadili aliyeleta ujumbe!
Bila shaka CCM wanakereka sana na taarifa kama hii, maanake inaumiza sana, na ni taarifa inayoeleweka kirahisi na wengi.
kiniAkamuulize baba yake ilikuwaje akashindwa kuifanya Zanzibar kuwa Dubai of Africa.
Wapi aliwahi sema Asante CCM kwa kumpa hata baba yake uraisi.wanyakyusa Akina Tulia naibu Spika hata ukimpa parachichi baba yake au mama yake lazima aseme Asante na kulia akipiga magoti akitamka kinyakyusa kuwa kyala akutule yaani Mungu akubariki Asante kwa kwa kumpa baba au mama parachichi akiwa na ndugu zake huku wanagalagala chini kuwa sisi hatujampa baba parachichi tunawashukuru sana kumpa baba au mama yetu parachichi .Huyu fatuma Hana hata shukrani ya kushukuru kuwa CCM ilimpa Cha maana baba yake au babu Yake au Kaka zake? loo !!!sijaona mtu asiye na shukrani Kama Fatuma Karume serious.Lini aliandika mitandaoni kushukuru CCM ?Niambie ni wapi alipoitukana ccm?.
CCM ni mali yao sasa ashukuru nini na kwa nani!?Wapi aliwahi sema Asante CCM kwa kumpa hata baba yake uraisi.wanyakyusa Akina Tulia naibu Spika hata ukimpa parachichi baba yake au mama yake lazima aseme Asante na kulia akipiga magoti akitamka kinyakyusa kuwa kyala akutule yaani Mungu akubariki Asante kwa kwa kumpa baba au mama parachichi akiwa na ndugu zake huku wanagalagala chini kuwa sisi hatujampa baba parachichi tunawashukuru sana kumpa baba au mama yetu parachichi .Huyu fatuma Hana hata shukrani ya kushukuru kuwa CCM ilimpa Cha maana baba yake au babu Yake au Kaka zake? loo !!!sijaona mtu asiye na shukrani Kama Fatuma Karume serious.Lini aliandika mitandaoni kushukuru CCM ?
Hujui Biblia inavyosema inataja watu wabaya wa siku za mwisho Soma 2 timotheo 3:1-9 inawataja wafiraji na wasio na shukrani Kama watu wabaya mno.Fatuma Hana shukrani kwa CCM iliyompa baba yake ugombea uraisi wa Zanzibar. Kwa mujibu wa Biblia anawekwa kundi moja na wafiraji kwenye hiyo BibliaCCM ni mali yao sasa ashukuru nini na kwa nani!?
Kwanza anawashangaa mnavyojikomba kwa mali ya familia yao na kutaka kujimilikisha!Hujui Biblia inavyosema inataja watu wabaya wa siku za mwisho Soma 2 timotheo 3:1-9 inawataja wafiraji na wasio na shukrani Kama watu wabaya mno.Fatuma Hana shukrani kwa CCM iliyompa baba yake ugombea uraisi wa Zanzibar. Kwa mujibu wa Biblia anawekwa kundi moja na wafiraji kwenye hiyo Biblia
baba yake na kaka yake wamelisaidia nini taifa hili?Baba yako alitusaidia nini hapo kwenye popn ya 1.4?tuanzie hapo kwanza.
Umeandika kirefu sana ila hujanijibu swali langu. Nionyeshe wapi Fatma Karume ameitukana CCM?Wapi aliwahi sema Asante CCM kwa kumpa hata baba yake uraisi.wanyakyusa Akina Tulia naibu Spika hata ukimpa parachichi baba yake au mama yake lazima aseme Asante na kulia akipiga magoti akitamka kinyakyusa kuwa kyala akutule yaani Mungu akubariki Asante kwa kwa kumpa baba au mama parachichi akiwa na ndugu zake huku wanagalagala chini kuwa sisi hatujampa baba parachichi tunawashukuru sana kumpa baba au mama yetu parachichi .Huyu fatuma Hana hata shukrani ya kushukuru kuwa CCM ilimpa Cha maana baba yake au babu Yake au Kaka zake? loo !!!sijaona mtu asiye na shukrani Kama Fatuma Karume serious.Lini aliandika mitandaoni kushukuru CCM ?
Wapi aliwahi sema Asante kwa CCM walau kwa babaake kuteuliwa mgombea wa uraisi Zanzibar kupitia CCM wakati kura za maoni za Wana CCM Zanzibar hazikutosha akaponea wajumbe wa CCM bara? Hilo halijui au mbona hajarudi kusema Asante CCM kumbeba baba yangu ambaye asingebebwa na CCM kwa heshima ya babu Yake kuwa baba yake asingekuwa raisi wa Zanzibar? Fatuma alikuwa awe mtu wa mwisho KU challenge muungano baba yake alibebwa na muungano.Bila muungano baba yake asingekuwa raisi wa Zanzibar.Anyway familia ya karume kurudi Tena kwenye utawala Zanzibar wasahau .Wajipange kwa profession zingine.Mama Mzee karume mke wa muasisi wa Zanzibar bibi yake Fatuma Karume akifariki tu watajijua.Huyo ndio anawaweka hewani akifa kwa heri ya kuonanaUmeandika kirefu sana ila hujanijibu swali langu. Nionyeshe wapi Fatma Karume ameitukana CCM?
Shida yenu nyie ccm mtu akisema hoja za kuwachallenge mnaona kawatukana.Wapi aliwahi sema Asante kwa CCM walau kwa babaake kuteuliwa mgombea wa uraisi Zanzibar kupitia CCM wakati kura za maoni za Wana CCM Zanzibar hazikutosha akaponea wajumbe wa CCM bara? Hilo halijui au mbona hajarudi kusema Asante CCM kumbeba baba yangu ambaye asingebebwa na CCM kwa heshima ya babu Yake kuwa baba yake asingekuwa raisi wa Zanzibar? Fatuma alikuwa awe mtu wa mwisho KU challenge muungano baba yake alibebwa na muungano.Bila muungano baba yake asingekuwa raisi wa Zanzibar.Anyway familia ya karume kurudi Tena kwenye utawala Zanzibar wasahau .Wajipange kwa profession zingine.Mama Mzee karume mke wa muasisi wa Zanzibar bibi yake Fatuma Karume akifariki tu watajijua.Huyo ndio anawaweka hewani akifa kwa heri ya kuonana
Umeeelewa alichoandika lkn au umejibu tuAliondoka mapema sana, ila katika viongozi ambawo walikuwa na upeo mkubwa sana, Marehemu Karume alikuwa mmoja wapo
Asante iko wapi hakuna binadamu mfanya mabaya tu hasa kwa familia ya Fatuma karume ndio maana nauliza Fatuma Karume Ina maana CCM ilifanya mabaya tu kwa familia ya Mzee karume hakuna Jema hata moja ambalo Fatuma Karume anatakiwa apost mitandaoni kusema Asante CCM?Shida yenu nyie ccm mtu akisema hoja za kuwachallenge mnaona kawatukana.
Mkuu nenda kawekeze kwenye korosho zinaoza ghalaniSasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Punguza jazba.Baba yako alitusaidia nini hapo kwenye popn ya 1.4?tuanzie hapo kwanza.