Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Kwa Colour TV ilikuwa ya kwanza Africa, ilikuwa na Kambi ya Wazee, ilikuwa ukiumwa TB huruhusiwi kukaa mtaani kuna kambi maalum ya watu wa TB, watu walikuwa wanalazimishwa kuishi modern life Civil Servants wote walikuwa wanalazimishwa kukopa vitu kama Gari, Baiskeli, Pikipiki, TV, Dinner Set nk kulingana na rank yako huduma ya maji ya bomba ilikuwa bure.
Katika 1980s Znz kulishakuwa na Industrialists toka Spain, Italy, China hata baadhi ya Scandinavian Countries
Wakati wa Karume Zenj ilikuwa nchi ya kwanza east and central africa kuwa na colour tv. Zenj ilikuwa na akiba kubwa ya forex kuliko tanganyika, per capital income ya Zenj ilikuwa kubwa sana kulinganisha na tanganyika
 
Mbona hakumshauri baba yake alipokuwa rais? Mambo mengine watu wanapiga kelele kwa sababu nyingine kabisa na siyo kama wana uchungu na wananchi! Miaka yote nchi yetu imekuwa inasaidiwa na nchi zenye population ndogo kabisa kulinganisha na sisi! Leo ndiyo ameona?
Wewe nawe ni boya tu, baba yako akiwa rais wewe utakuwa mshauri wake?
 
Baba yako alitusaidia nini hapo kwenye popn ya 1.4?tuanzie hapo kwanza.
nenda unguja utaona alichofanya.. nikusaidie kimoja tu...
aliunganisha uupinzani kupitia SERIKALI YA UMOJA.
MEKO kaja kuuvunja muungano
 
Kwa Colour TV ilikuwa ya kwanza Africa, ilikuwa na Kambi ya Wazee, ilikuwa ukiumwa TB huruhusiwi kukaa mtaani kuna kambi maalum ya watu wa TB, watu walikuwa wanalazimishwa kuishi modern life Civil Servants wote walikuwa wanalazimishwa kukopa vitu kama Gari, Baiskeli, Pikipiki, TV, Dinner Set nk kulingana na rank yako huduma ya maji ya bomba ilikuwa bure.
Katika 1980s Znz kulishakuwa na Industrialists toka Spain, Italy, China hata baadhi ya Scandinavian Countries
kaja MEKO vululuvululu kavuluga yote
 
Mbona hakumshauri baba yake alipokuwa rais? Mambo mengine watu wanapiga kelele kwa sababu nyingine kabisa na siyo kama wana uchungu na wananchi! Miaka yote nchi yetu imekuwa inasaidiwa na nchi zenye population ndogo kabisa kulinganisha na sisi! Leo ndiyo ameona?
Na shangazi nae anataka uongozi ili erekebishe makosa ya zamani. Yetu macho!!!!!!!!!!!!!!
 
Usilazimishe.
Si ninalipa kodi kwa nini nisilazimishe kuwa na watu bora wanaotumia kodi yangu? Yaani umebakia kuwashambulia CHADEMA ila mipango mikakati yako kwenye kuwasaidia vijana wenzako haionekani. Ikipatikana nafasi na balozi kuteuliwa tena ujue mwisho wako utakuwa umefika.
 
Nani amekuambia hulipi kodi?
Uliposema nisilazimishe ndio nakwambia waliokuteua bora wangekupa nafasi ya Humphrey!! Hapo unatumia kodi zetu bila ya kuleta mabadiliko ya maana kwa vijana.

Yaani kushindana na "Dangote" badala ya kuja na mikakati ya kuwasaidia vijana wenzako wanaomaliza kidato cha Nne, sita, na kwenye vyuo mbali mbali ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
 
Back
Top Bottom