Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Fatma Karume: Mzee kaenda kuomba Namibia

Sasa huyo naye anayejiita shangazi badala ya kuwekeza anashinda mtandaoni kulalamika tu. Nishai tupu.
Hapa ni Great Thinker, mitandao ni njia za mawasiliano. Shangazi haishii mitandaoni tu, lakini anatekeleza malengo mahakamani na anaihenyesha serikali kandamizi ya Magufuli. Ila wewe unalipwa kwa kuitetea serikali na chama chako cha ccm. kati ya shangazi na wewe, shangazi yuko vizuri sana. wewe ni kikaragosi usiye na mbele wala nyuma. wala huna utaifa, ila unalinda maslahi ya kikundi cha watu. Shangazi anaangalia maslahi ya taifa, maslahi ya wengi. anapendwa na wengi. nyie mnalazimisha kupendwa kwa kutumia polisi na sheria kandamizi
 

Kwa data hizi huyu anamsifu Rais kwa hatua yake ya kwenda Namibia, na bado alitakiwa aongeze nyingine ameisahau kwamba Rais mara baada tu ya kuwa ameapishwa mwaka 2015, safari yake ya kwanza nje ya Nchi ilikuwa Rwanda, Nchi ndogo kabisa kuzidi hata hiyo Namibia, na manufaa ya safari hiyo ya Rwanda nadhani kila mmoja mwenye akili timamu tayari ameshayaona!
 
Alijiona ana akili sana ktk taifa ukadharau watu ukahisi cheo cha babu na baba ni vyako... Leo uwakili huna umebaki piga domo tu kama debe lisilo nakitu na bado....
huna legacy zaid ya wazee wako unaleta tafaran kwa familia inayo heshimika nadahani watu wanakuvutia kasi ila ipo siku watakupa za uso kama asie funzwa na wazaz basi ufunzwa na dunia. Mm napita
 
Aliondoka mapema sana, ila katika viongozi ambawo walikuwa na upeo mkubwa sana, Marehemu Karume alikuwa mmoja wapo
Kama hujui kaa kimya alie ondoka mapema ni babu yake na kama hujuw baba yake ni karume wa pili na yeye alikuwa Rais. Ila ndio kama vile alikuwa yote yangu.... Safiri znz ukasikie mengi
 
Baba yako alitusaidia nini hapo kwenye popn ya 1.4?tuanzie hapo kwanza.
Baba yake na yeye kuna mahusiano gani kama binaadamu waliobeba kila mtu kichwa chake!
Kuwa na kaakili hata kadogo basi.
 

Haka ka-Fatma kaongo sana:

Tanzania

GDP - per capita (PPP):
This entry shows GDP on a purchasing power parity basis divided by population as of 1 July for the same year.

$3,200 (2017 est.)

$3,100 (2016 est.)

$3,000 (2015 est.)

Note: data are in 2017 dollars


Namibia

Namibia’s economy is heavily dependent on the extraction and processing of minerals for export. Mining accounts for about 12.5% of GDP, but provides more than 50% of foreign exchange earnings. Rich alluvial diamond deposits make Namibia a primary source for gem-quality diamonds. Marine diamond mining is increasingly important as the terrestrial diamond supply has dwindled. The rising cost of mining diamonds, especially from the sea, combined with increased diamond production in Russia and China, has reduced profit margins. Namibian authorities have emphasized the need to add value to raw materials, do more in-country manufacturing, and exploit the services market, especially in the logistics and transportation sectors.

Namibia is one of the world’s largest producers of uranium. The Chinese-owned Husab uranium mine began producing uranium ore in 2017, and is expected to reach full production in August 2018 and produce 15 million pounds of uranium a year. Namibia also produces large quantities of zinc and is a smaller producer of gold and copper. Namibia's economy remains vulnerable to world commodity price fluctuations and drought.

Namibia normally imports about 50% of its cereal requirements; in drought years, food shortages are problematic in rural areas. A high per capita GDP, relative to the region, obscures one of the world's most unequal income distributions; the current government has prioritized exploring wealth redistribution schemes while trying to maintain a pro-business environment. GDP growth in 2017 slowed to about 1%, however, due to contractions in both the construction and mining sectors, as well as an ongoing drought. Growth is expected to recover modestly in 2018.

A five-year Millennium Challenge Corporation compact ended in September 2014. As an upper middle income country, Namibia is ineligible for a second compact. The Namibian economy is closely linked to South Africa with the Namibian dollar pegged one-to-one to the South African rand. Namibia receives 30%-40% of its revenues from the Southern African Customs Union (SACU); volatility in the size of Namibia's annual SACU allotment and global mineral prices complicates budget planning.

GDP - per capita (PPP): This entry shows GDP on a purchasing power parity basis divided by population as of 1 July for the same year.

$11,200 (2017 est.)


$11,500 (2016 est.)

$11,700 (2015 est.)

Note: data are in 2017 dollars

Kanaweka data ambazo hazijulikani za mwaka gani? Itakuwa wakati wa Mwinyi?


 
Back
Top Bottom