The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
....ohoooo,....sasa wewe ndio umeharibu kabisa, au unatania?
Usiponunua wewe hilo gunia la mkaa atanunuliwa na nani?
Tusichanganye wajibu na majukumu yako kama mume, na mahaba.
...no wonder wengine ati baada ya kuachana na wake zao wanasitisha hata matumizi kwa watoto wao.
...ni ujinga wa 'mwafrika'
...spot on, utapewa majina yote ya maudhi, ikiwamo umelishwa kipapai, ....na wanawake wasiojua 'kupendwa' hufikia hata
kujitapa mbele ya wajinga wenzake ati "nimemuweka kiganjani, hafurukuti!"...
mkuu majukumu ni kwa mkeo au mpenzi wako tayari....
But mahaba yanaanza hata kabla hajawa wako....
Yanaweza kuwa chanzo hivi....