nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 810
- 2,851
- Thread starter
- #81
Uelewa wako ni mdogo.Wakisha kuambia office zao zilipo unatakiwa uende kuwatembelea kabla ya kununua.
Kwakifu hii habari imejaa uzushi mtupu
hii habari ni nyeusi aituhusu tafutaneni kimya kimya Kama mnadaina mkamalizane.
Kamati ya kuchunguza Richmond ilienda kufuata nini USA kujiridhisha kama Richmond inaexist kule?
Si ni baada ya kuwa na wasiwasi na uwepo wa hiyo kampuni na jinsi ilivyopata zabuni?