DVI: Kampuni hewa inayotumia jina la Azam Media na kuchota mabilioni ZBC kinyume cha sheria

Soma hapa. DV International imesajiliwa 1998 Ufaransa. Wewe ushahidi huna kuthibitisha tuhuma zako dhidi ya huyo Mzungu zaidi ya kiherere. Onyesha wapi Azam Media wameilipa hiyo kampuni $5 million?

Hii ni report ya official search ya hii kampuni.

1. Inaonyesha wamesajiriwa 2014, sio 1998 kama walivyokutuma uwatetee.

2. Wameulizwa ni branch? Jibu lako hapo ni NO, maana yake sio tawi la kampuni yeyote.

3. Kazi walizosajiriwa kufanya hakuna hata moja inayowahusisha na kazi za Broadcasting au Media, hizi ni professionals services, sio kila kima anafanya.

Na zaidi hawana license, ofisi wala haitambuliki na mamlaka za kodi UAE.

Kumbuka leo unaweza kwenda Brela ukasajiri kampuni. Ila ili upewe license kwanza lazima usajiri TIN, ili utambulike kama mlipa kodi, na lazima upeleke mkataba wa pango wajue address yako.

Ukishapata TIN ndio sasa unaweza kwenda kuomba leseni kwa mamlaka husika kulingana na aina ya biashara.

Kama ni level za Halmashauri utapata leseni Class B, kama kitaifa unapata leseni toka Brela kwa niaba ya Wizara ya Viwanda na Biashara.

Na kama ni professional service au business mfano supply ya Broadcasting Equipment basi lazima on top of leseni Class A ya Brela lazima upate leseni ya TCRA.

Hivyo hivyo katika professionals zingine.

Hivyo unajitahidi sana kuwatetea, unfortunately unakula pesa zao bure.

Na uzuri pia unaweza kwenda mwenyewe kwenye website ya Wizara ya Economy UAE na ukafanya official search kuhusu kampuni hiyo na jinsi inavyofanya kazi zake.

3024969_DVI_REG._DETAILS.png
 
TAKUKURU walitakiwa kuwa mbele yako kugundua hili. Lakini kwa sababu siku hizi ni wakuamrishwa fanya hiki ama kile, hawawezi kuwa Pro-active. Kuna jambo linatakiwa kufanyika huko TAKUKURU.
Takukuru wanahitaji pia ushiriki wa sisi raia wema katika kuwasaidia kuibua haya madudu. Hivyo tusichoke kuwapa ushirikiano pindi tukutanapo na mazingira kama haya.
 
Pia haijasajiriwa Kama Digital Video International bali DV International, hivi ni vitu viwili tofauti.

Zaidi ya yote ni kuwa hata hiyo Digital Video International sio kampuni inayoonekana kuexist huko ufaransa.
Hapo juu ulimaanisha nini? Nimekuonyesha hiyo kampuni imesajiliwa Ufaransa 1998 kama DV International.

Kwa upande wako, ingekuwa vizuri ukaweka ushahidi wa malipo ya $5 million unayodai kampuni imelipwa na Azam media na pili, uonyeshe ushahidi wa tenda ya ZBC. Bila ya kufanya haya, tuhuma zako zinakuwa hazina mashiko.
 
Soma hapa. DV International imesajiliwa 1998 Ufaransa. Wewe ushahidi huna kuthibitisha tuhuma zako dhidi ya huyo Mzungu zaidi ya kiherere. Onyesha wapi Azam Media wameilipa hiyo kampuni $5 million?

Pia una vituko sana aisee, either nimegundua hujui unachofanya au unajua kisha unatetea tu.

Hii uliyoleta hapa ni kampuni inayoonyesha kusajiriwa ufaransa kama Digital Video International.

Lakini kampuni ninayoizungumzia hapa inaitwa DV International Incorporated ya Dubai, UAE.

Kampuni yenye jina la kufanana na hili ziko USA, UK n.k.

Lakini kwa muktadha wa taarifa yangu naizungumzia hii ya Dubai, ambayo katika usajiri wake wamesema wao sio Branch ya kampuni yoyote. Report iko wazi na unaweza search upya ujiridhishe.

Hivyo hapa tunazungumzia hii ya Dubai, na zaidi tujue imeingiaje nchini? Ilishindanishwa kwa tender ipi? Imekuwa ikipata kazi kwa mtindo na kwa bei gani?

Zaidi ya yote kama nilivyosema sina shaka na kazi tuliyofanya ni kuwa hana sifa na hana uhalali wa biashara anayofanya. Zaidi ni tapeli kama makampuni mengine ya kitapeli.
 
Hii ni report ya official search ya hii kampuni.

1. Inaonyesha wamesajiriwa 2014, sio 1998 kama walivyokutuma uwatetee.

2. Wameulizwa ni branch? Jibu lako hapo ni NO, maana yake sio tawi la kampuni yeyote.

3. Kazi walizosajiriwa kufanya hakuna hata moja inayowahusisha na kazi za Broadcasting au Media, hizi ni professionals services, sio kila kima anafanya.

Na zaidi hawana license, ofisi wala haitambuliki na mamlaka za kodi UAE.

Kumbuka leo unaweza kwenda Brela ukasajiri kampuni. Ila ili upewe license kwanza lazima usajiri TIN, ili utambulike kama mlipa kodi, na lazima upeleke mkataba wa pango wajue address yako.

Ukishapata TIN ndio sasa unaweza kwenda kuomba leseni kwa mamlaka husika kulingana na aina ya biashara.

Kama ni level za Halmashauri utapata leseni Class B, kama kitaifa unapata leseni toka Brela kwa niaba ya Wizara ya Viwanda na Biashara.

Na kama ni professional service au business mfano supply ya Broadcasting Equipment basi lazima on top of leseni Class A ya Brela lazima upate leseni ya TCRA.

Hivyo hivyo katika professionals zingine.

Hivyo unajitahidi sana kuwatetea, unfortunately unakula pesa zao bure.

Na uzuri pia unaweza kwenda mwenyewe kwenye website ya Wizara ya Economy UAE na ukafanya official search kuhusu kampuni hiyo na jinsi inavyofanya kazi zake.

View attachment 2036024
Sawa, lakini kabla hujafika kote huko, ungeweka ushahidi wa moja kwa moja wa hizo tuhuma zako za ufisadi. Hadi sasa hujathibitisha ufisadi wowote.
 
Sawa, lakini kabla hujafika kote huko, ungeweka ushahidi wa moja kwa moja hizo tuhuma zako za ufisadi.
Ndio maana kuna vyombo husika vinaweza kuanzia hapa nilipoishia. Kiufupi sina sababu ya kumsingizia mtu kama yuko clean na anafanya kazi zake kwa weledi.

Pia pindi vyombo vinavyohusika vitakapofanya kazi yake vitajiridhisha na kujua mengi.

Mimi nina limit ila vyombo husika vinaweza kuomba documents zote kuanzia mwanzo hadi mwisho wa jinsi alivyopata kazi n.k.
 
Kama anapata pesa na hao AZAM na ZBC wanaridhika na wanachohudumiwa sioni shida.

Kama ni masuala ya kuwa na ofisi nk ni masuala ya waliopewa hizo kazi na wanalipwa pesa kufanya kazi hizo,kwa hiyo wafanye wajiridhishe.(taasisi za serikali)

Mwavheni mfaransa wa watu awapige pesa wateja wake.
Jamaa kaandika vitu vingi sana lakini sijamuekewa shida yake ni offisi au katapeliwa,kwakifupi Taasisi na campuny wanalipa pesa kwa cheque mpokeaji nilazima adipost cheque bank Azam na ZBC wanalipa pesa kwanjia gani swala la office sio hoja Kama anafanya biashara ambazo sio tangble kwanfano Mimi naouza bidhaa ambazo ni downlodeble online unalipa una-download bidhaa yako kwenye simu au kwenye pc unatembea unataka office ya nini? Unataka ukutane na Mimi ili iweje Kama sio mambo ya Kiswahili ya kutupiana majini.
 
Jamaa kaandika vitu vingi sana lakini sijamuekewa shida yake ni offisi au katapeliwa,kwakifupi Taasisi na campuny wanalipa pesa kwa cheque mpokeaji nilazima adipost cheque bank Azam na ZBC wanalipa pesa kwanjia gani swala la office sio hoja Kama anafanya biashara ambazo sio tangble kwanfano Mimi naouza bidhaa ambazo ni downlodeble online ulipa una-download bidhaa yako kwenye simu au kwenye pc unatemea unataka office ya nini? Unataka ukutane na Mimi ili iweje Kama sio mambo ya Kiswahili ya kutupiana majini.
Anasupply Broadcasting Equipment, sio software brother. Hata ingekuwa software basi hata Microsoft ana Office. Hakuna biashara isiyotambulika wanapatikana wapi.

Pia nimeandika anapata kazi bila mchakato wa tender.

Zaidi mamlaka za Dubai hazijampa license sababu huwezi pewa license bila kuomba au Zaidi kuwa na address. Na ukirudia kusoma kama ulikuwa na uelewa shule basi utaelewa.
 
Mfaransa kahamia Dubai, na akaamua kusajili kampuni aliyoisajili/miliki tokea Ufaransa 1998. Haishi tena Ufaransa ndiyo maana kwenye taarifa za usajili wa Dubai kataja DVI Dubai siyo branch ya DVI France. Dalili zote zinaonyesha Azam Media wanaonekana wameridhika na kazi yake. So what's the big deal?
 
Anasupply Broadcasting Equipment, sio software brother. Hata ingekuwa software basi hata Microsoft ana Office. Hakuna biashara isiyotambulika wanapatikana wapi.

Pia nimeandika anapata kazi bila mchakato wa tender.

Zaidi mamlaka za Dubai hazijampa license sababu huwezi pewa license bila kuomba au Zaidi kuwa na address. Na ukirudia kusoma kama ulikuwa na uelewa shule basi utaelewa.
Wabongo tubadilike kifikra umetaja Microsoft utumia software zake kila siku Google na Facebook wanafanya biashara Dunia mzima juzi niliona tanganza lako Yotube vipi unaweza kunielekeza office zao zolipo ili niwatembelee na Mimi niwape Kazi ya matangazo?
 
Mfaransa kahamia Dubai, na akaamua kusajili kampuni aliyoisajili/miliki tokea Ufaransa 1998. Haishi tena Ufaransa ndiyo maana kwenye taarifa za usajili wa Dubai kataja DVI Dubai siyo branch ya DVI France. Dalili zote zinaonyesha Azam Media wanaonekana wameridhika na kazi yake. So what's the big deal?
Hahahhaahha, sasa alivyohamia Dubai ndio ikawa imesajiriwa 1998?

Basi mbona umeleta link ya Ufaransa?

Anyway naamini wenye kazi yao wamepata pa kuanzia.

Naona unamjua hadi mchakato wa kuhama kwake, bila shaka utakuwa mshirika wake mwaminifu sana.

Ndio maana nami nimetaja taarifa za DV International Dubai.

Muhimu zaidi hoja ni nyingi zaidi tu ya usajiri na mwaka.

Hata akifanya kazi za Trilion na Azam Media as long as ni private entity sisi haituhusu.

Itakuwa inamhusu Bakhresa na watu wake.

Mimi concern yangu ni jinsi sasa anatumia mgongo wa Azam Media kujipatia kinyemela Zabuni katika Makampuni ya Umma, ambayo utaratibu wake wa kupata mzabuni umeainishwa kwa mujibu wa sheria.

Akienda ITV, Clouds, Wasafi na akafanya kazi nao hakuna wa kuwauliza. Lakini pale pesa ya umma inapotumika lazima wananchi tujue uhalali wa matumizi hayo.
 
Wabongo tubadilike kifikra umetaja Microsoft utumia software zake kila siku Google na Facebook wanafanya biashara Dunia mzima juzi niliona tanganza lako Yotube vipi unaweza kunielekeza office zao zolipo ili niwatembelee na Mimi niwape Kazi ya matangazo?
Microsoft wana office mbalimbali duniani. Zaidi ya yote wana suppliers wa products zao. Mfano ukinunua softwares zake kama ni zilizo kwenye storage Media utapata hapa hapa bongo, ila ukinunua online bado watakuonyesha office zao ziko wapi kama ni America or USA.
 
Wabongo tubadilike kifikra umetaja Microsoft utumia software zake kila siku Google na Facebook wanafanya biashara Dunia mzima juzi niliona tanganza lako Yotube vipi unaweza kunielekeza office zao zolipo ili niwatembelee na Mimi niwape Kazi ya matangazo?


Hizi ni office za Microsoft Duniani.

Jumla wana ofisi 177 Duniani, yaani hizo ni physically office zina wafanyakazi, vipi bado una la kuitetea hiyo kampuni ya mfukoni na inayofanya kazi bila kufuata sheria?
 
Hahahhaahha, sasa alivyohamia Dubai ndio ikawa imesajiriwa 1998?

Basi mbona umeleta link ya Ufaransa?

Anyway naamini wenye kazi yao wamepata pa kuanzia.

Naona unamjua hadi mchakato wa kuhama kwake, bila shaka utakuwa mshirika wake mwaminifu sana.

Ndio maana nami nimetaja taarifa za DV International Dubai.

Muhimu zaidi hoja ni nyingi zaidi tu ya usajiri na mwaka.

Hata akifanya kazi za Trilion na Azam Media as long as ni private entity sisi haituhusu.

Itakuwa inamhusu Bakhresa na watu wake.

Mimi concern yangu ni jinsi sasa anatumia mgongo wa Azam Media kujipatia kinyemela Zabuni katika Makampuni ya Umma, ambayo utaratibu wake wa kupata mzabuni umeainishwa kwa mujibu wa sheria.

Akienda ITV, Clouds, Wasafi na akafanya kazi nao hakuna wa kuwauliza. Lakini pale pesa ya umma inapotumika lazima wananchi tujue uhalali wa matumizi hayo.
Ametumiaje mgongo wa Azam kupata tenda ZBC?weka wazi ueleweke
 
Ametumiaje mgongo wa Azam kupata tenda ZBC?weka wazi ueleweke
Soma WhatsApp chat utaelewa. Mtu akimuuliza juu ya project zake anakuambia mkutane Azam Media akuonyeshe.

Sasa simply pale kuna mshirika wake ambaye ni meneja. Wewe ukifika na kuonyeshwa unaamini huyu mtu ana uwezo kumbe hata anaposema ana office hana ofisi wala wafanyakazi.

Nafikiri ukipitia WhatsApp chat yake na mtu wetu utajua nilichoandika.
 
Kwaiyo Azam ni yake au ya bhakhersa?
Ni ya Bhakresa, lakini anashirikiana na mmoja wa mameneja wa Azam.

Hata hapo wamefanya kazi 2 kwa mujibu wa maelezo yake zenye thamani ya USD 5,000,000.

Ina maana muathirika wa kwanza wa hii kampuni ni Bakhresa mwenyewe kupitia mchongo wa Broadcast Manager wake.
 
Soma WhatsApp chat utaelewa. Mtu akimuuliza juu ya project zake anakuambia mkutane Azam Media akuonyeshe.

Sasa simply pale kuna mshirika wake ambaye ni meneja. Wewe ukifika na kuonyeshwa unaamini huyu mtu ana uwezo kumbe hata anaposema ana office hana ofisi wala wafanyakazi.

Nafikiri ukipitia WhatsApp chat yake na mtu wetu utajua nilichoandika.
Nimesoma nimeeelewa kuwa wewe ulitaka kukutana nae Dubai akakuambia yupo Dar, ukataka kwenda kwenye ofisi yake akakauambia ata organise kisha mkaishia mje mkutane naye nae dar na kakuelekeza ofisi ya kumkukuta atakuwa AZAM, of which wewe ulikuwa unamchora tuu umekaa zako tandale...hata angekuambia uende kwenye ofisi yake Dubai usingeweza

Pili kwenye chat zenu umemuuliza kama ana project East Africa kakuambia ndio yupo Azam, kakuita hapo anapofanya project haujaenda...

Ukiulizwa details unamrudisha mtu kwenye useless WhatsApp messages...
 
Microsoft wana office mbalimbali duniani. Zaidi ya yote wana suppliers wa products zao. Mfano ukinunua softwares zake kama ni zilizo kwenye storage Media utapata hapa hapa bongo, ila ukinunua online bado watakuonyesha office zao ziko wapi kama ni America or USA.
Wakisha kuambia office zao zilipo unatakiwa uende kuwatembelea kabla ya kununua.

Kwakifu hii habari imejaa uzushi mtupu

hii habari ni nyeusi aituhusu tafutaneni kimya kimya Kama mnadaina mkamalizane.
 
Nimesoma nimeeelewa kuwa wewe ulitaka kukutana nae Dubai akakuambia yupo Dar, ukataka kwenda kwenye ofisi yake akakauambia ata organise kisha mkaishia mje mkutane naye nae dar na kakuelekeza ofisi ya kumkukuta atakuwa AZAM, of which wewe ulikuwa unamchora tuu umekaa zako tandale...hata angekuambia uende kwenye ofisi yake Dubai usiweza

Pili kwenye chat zenu umemuuliza kama ana project East Africa kakuambia ndio yupo Azam, kakuita hapo anapofanya project haujaenda...
Hapana, mfuatiliaje wetu alikwenda Dubai kwa nia ya kuthibitisha uwepo wa hiyo kampuni, katika address anayoonyesha kampuni yake ipo akakuta ni kampuni inayosaidia kusajiri makampuni. Aliposema yuko Tanzania ikabidi kutaka kukutaba nae Azam Media, kumbuka ni mtanzania aliyejifanya ni Mganda ili apate taarifa.

Na ujue pale Azam kuna watu wanaomfahamu, angeenda na wakamwambia sio Mganda ni mtanzania tayari inakuwa tatizo katika kazi aliyokuwa anafanya.

Ingekuwa nje ya Azam angeenda kukutana nae.

Ili nikuthibitishie alienda Dubai na hakuwa Tandale naweka hapa picha ya business card ya kampuni ya ABC aliyosema ndio office zake zilipo, na mtu wetu alipofika aliambiwa ni kweli huyo Gael akiwa na watu anaomba kuonana nao kutumia ofisi zao.

Sasa kwa kuwa hakuwepo Dubai ilikuwa ngumu kusema nenda ofisini maana kampuni yake haina staff, angekuwa na office asingesema let me organise. How do you organise an office for someone to see it kama ipo?

Ndio maana ilibidi kutwa nzima akae kimya hadi jioni akaomba msamaha kwa kushindwa organise office visits.

NB: naweka hapa picha za hiyo office na business card yao ujue sio suala la porojo.

20211128_115853.jpg


20211128_112019.jpg


20211128_112022.jpg
 
Back
Top Bottom