DVI: Kampuni hewa inayotumia jina la Azam Media na kuchota mabilioni ZBC kinyume cha sheria

Kwa hiyo jamii forums iko kwa ajili ya mambo ya Tanzania bara pekee?

Hauoni hadi kuna mada za kimataifa?
Sijauliza kwa maana kwamba ya Zanzibar hayafai ama hayawezi kujadiliwa.. la hasha.
Nimekuuliza ili tupate kujua na kujadili vizuri, sawa kiongozi hebu punguza jazba
 
Nakuhakikishia Mzee Bakhresa hajui huu mchezo. Ni Meneja wake anayefanya haya mambo.
Inaonekan unatatizo na huyo meneja, sasa umeamua kuja kumharibia ugali wake hapa, na nikuhakikishie mtu mwenye akili hawezi kukuzingatia kwani maelezo yako na ulivyokomaa na kusema ni meneja wake niukweli usiopingika unawivu na mafanikio yake
 
Wewe ni zaidi yetu
Sio kila mada za kuchangia mwezenu kashusha nondo za maana with evidence nyie mnaleta upumbaf.
Sio lazima kuchangia vitu vilivyokuzidi upeo inatosha ukienda kujadili mambo ya udaku huko instagram.
 
Sio kila mada za kuchangia mwezenu kashusha nondo za maana with evidence nyie mnaleta upumbaf.
Sio lazima kuchangia vitu vilivyokuzidi upeo inatosha ukienda kujadili mambo ya udaku huko instagram.
Mpuuzi wewe, watu wanaiba mabilioni wewe umekomaa na hiyo pesa ya mboga? mwenyewe unatamani upate nafasi uibe mali za umma, sema unaona wivu sababu hujapata nafasi wewe ya kuiba.
 
Mpuuzi wewe, watu wanaiba mabilioni wewe umekomaa na hiyo pesa ya mboga? mwenyewe unatamani upate nafasi uibe mali za umma, sema unaona wivu sababu hujapata nafasi wewe ya kuiba.
Binti yaishe sitaki kuwa mpumbaf kama wewe kuharibu uzi wa maana wa watu.
Kwaheri
 
DVI: KAMPUNI HEWA INAYOJIPATIA MABILIONI AZAM MEDIA, IMETUMIA JINA LA AZAM MEDIA NA KUCHOTA MABILIONI ZBC KINYUME CHA SHERIA
  • Ni kampuni ya mfukoni iliyosajiri jina DUBAI, UAE. Inamilikiwa na Mfaransa Gael Lancrenon.
  • Hana Nyaraka halali wala ofisi Dubai, anatumia anuani ya Kampuni ya Ushauri wa kufungua makampuni kama anuani ya ofisi yake.
  • Mnyetishaji wangu akijifanya ni mteja toka Uganda, wakachati akiwa Dubai, akashindwa kumwambia ofisi ilipo ili aitembelee, Whatsaaap chati iko hapo utaisoma.
  • Tetesi ni kuwa mfaransa huyo anashirikiana na Broadcast Manager wa Azam Media kujipatia kazi, wakati hana sifa.
  • Yeye anasema kampuni yake imefanya kazi mbili Azam Media, zenye thamani ya 5,000,000 US Dollar (Zaidi ya bilioni 11 za Kitanzania)
  • Anatumia mitambo na ofisi za AZAM MEDIA kuyaaminisha makampuni mengine kuwa ana uwezo na kampuni yake ni halali huko DUBAI.
  • Tayari ameshajiingiza katika Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) na kufanya kazi huku akiwa hana sifa, huku akijinasibu ndie amefanya Installation ya mifumo mingi ya AZAM MEDIA, na kuwa yeye ndio hutoa Msaada wa Kiufundi (Technical Support).
  • Usajiri wa Kampuni yake ambayo haina Leseni, ofisi, wala haitambuliki na mamlaka za kodi za Dubai hauhusiani na kazi za Media wala Broadcasting.
  • Tumemfuatilia hadi anapodai ana ofisi na tumekuta hana, anaendesha biashara kitapeli.
  • TAKUKURU ichunguze kampuni hii hewa inapataje kazi ZBC? Waangalie bei za kazi alizowahi kufanya, na achunguzwe ilikuwaje akawa anapewa kazi kama Single Source wakati hana sifa wala kampuni yake haifanyi kazi kwa taratibu zinazotakiwa?

UTANGULIZI
DV International, ni jina la kampuni hewa au tuseme ya kitapeli ambayo imejiingiza hapa nchini na tayari kuna baadhi ya kazi wanasema wamezifanya Azam Media, na Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).

Mmiliki wake anayeonekana mbele ni Gael Lancrenon, mfaransa. Anasema ofisi yake iko – Ras Al Khaimah, 1401 Aspect Tower – Business Bay, P.0.Box 181921, DUBAI, UNITED ARAB EMIRATES. Baada ya kufuatilia katika anuani hiyo tumekuta hiyo ni ofisi ya kampuni ya ALLIANCE BUSSINESS COUNCIL LIMITED, kampuni ambayo inajihusisha na usajiri wa makampuni na utafutiaji wa Leseni wa makampuni huko DUBAI. Hivyo hana ofisi Dubai, wala hana compliance Zaidi ya Certificate of Incorporation.

Mhusika wa kampuni hii inaonekana ana ushirikiano mkubwa na Broadcast Manager wa AZAM MEDIA, ajulikanaye kwa jina la SIVAJITH SADASIVAN. Ambae ndie amemleta AZAM MEDIA, na kuuhakikishia uongozi wa AZAM kuwa DV International ni kampuni kubwa Dubai, na kuwa ni tawi la kampuni ya Digital Video International ya Ufaransa, japo katika usajiri wao DUBAI kama nilivyoscreenshort taarifa zake za usajiri wao sio tawi la kampuni yoyote.

Gael anatumia namba zifuatazo; +33614171529 (Namba ya Ufaransa na ndio huitumia kwa mawasiliano haswa Whatsaap), +971501048897 (UAE), na akija Tanzania huwa anatumia +255754318051 kufanya mawasiliano akiwa nchini.

MAHUSIANO YAKE NA AZAM MEDIA
Anajinasibu kuwa kampuni yake hiyo ndio imetengeneza mifumo ya Azam TV na kuwa yeye ndio anaisimamia, anasema amefanya kazi na Azam zenye thamani ya Zaidi ya Dola milioni tano (5,000,000/- USD).

Ana uhusiano wa karibu na Broadcast Manager wa AZAM MEDIA, ajulikanaye kwa jina la SIVAJITH SADASIVAN, ambaye ndie anajua alimtoa wapi na kumuingiza nchini na kuwezesha yeye kupata kazi. Kwa namna yeyote ni mshirika wake katika upigaji.

Zaidi anatumia ofisi za AZAM MEDIA kuwaaminisha watu wengine, zikiwemo taasisi za serikali kuwa yeye ndio amefanya AZAM MEDIA kuwa hapo ilipo, na ili kuwaaminisha huwaambia watu waende AZAM MEDIA na anawaonyesha mitambo ya AZAM ili wamuamini na kumpa kazi.

Mtu wetu alijifanya ni Mteja toka Serikali ya Uganda, akafanya nae mazungumzo kwa njia ya Whatsaap na wakakubaliana aje Nchini wakutane katika ofisi za AZAM MEDIA, yaani kiufupi anatumia ofisi za AZAM MEDIA kufanikisha utapeli wake.

AZAM MEDIA ni kampuni kubwa, ifanye uchunguzi ili kubaini namna mtu huyu anavyoitumia vibaya kampuni yao na kuifanya ofisi hiyo kijiwe chake kila anapokuja nchini.

NAMNA ALIVYOJIPENYEZA ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION (ZBC)
DV international kwa mujibu wa mtoa taarifa wetu amefanya kazi kadhaa hapo ZBC, kwanza hizo kazi kazifanya katika mazingira yasiofuata sheria ya manunuzi Zanzibar. Hizo kazi alikuwa anapewa kama Single Source wakati hana sifa hizo.

Mamlaka za kuchunguza rushwa zifuatilie namna hawa watu walipeana kazi bila ya kutangaza Tender, na Zaidi waangalie bei ambayo alitolea huduma hizo katika mazingira hayo.

Ana watu anaoshirikiana nao toka AZAM MEDIA, waliomshika mkono na kumpeleka ZBC. Na kuna watendaji wasio waaminifu ndani ya ZBC wanaoshirikiana nae katika kufanya miradi hewa ya mabilioni ZBC na kujipatia pesa nyingi isivyo halali.

Na kwa kuwa huyu Gael sio mtu wa Broadcasting basi kuna watu wanaomtumia kufanya deal chafu na kisha wanagawana pesa, ndio maana hata akifanya kazi za mabilioni bado hawezi kukodi hata fremu aonyeshe ndio ofisi maana baada ya dili hugawana pesa na kusubiri dili jingine la kutengenezea pesa.

NB: NIMEWEKA CHAT YAKE NA MTU ALIYEJIFANYA ANATOKA UGANDA, PIA OFFICIAL SEARCH YA JINA LAKE LA KAMPUNI INAYOONYESHA KAZI ALIZOSAJIRIWA KUFANYA.

View attachment 2035489

Msingi mkubwa wa biashara kwa sasa ni kuwa na usajili wa kampuni, leseni ya biashara na bank account ya kampuni ili ukipata buz deal mnalipana kwa corporate account.
Then kama mtu anatoa technical support ambayo hata akiwa chumbani au sebuleni kwake anaweza kutengeneza na mteja akaridhika, maisha yanaweza kuendelea.
(Plan International ilianzia sebuleni kwa mtu, Care international ilianzia sebuleni kwa mtu)
Amazon Inc ya Jeff Bezos alinzia kwenye car park (garage); Facebook alianzia bwenini.

Nadhani mtu huyu hakulipwa fedha zote kwa mkupuo, ila huenda alilipwa kwa deliverables. Na kama Azam Media anapata huduma mpaka akaweza kutoa mpaka hizo dola, ndio maana kaendelea kupiga hela.

Kwa ulimwengu tunaokwenda, Corona pia imesaidia kutupa mwanga; watu wanaweza kufanyia kazi nyumbani au popote pale hasa kama kazi zenyewe zinatuma "software" na sio hardware.

Simtetei mhusika ila nataka mleta hoja awe na ufahamu mpana kwenye project management. Kama ambavyo ACACIA haikuwa mining company ila ilikuwa management company inayo-manage mining company, jambo ambalo lipo sana kwa dunia ya kwanza na ndiko tulipo kwa kutumia technology unaweza kila siku ukawa unaenda hotel ukachukua meza na vinywaji then ukatoa tech solution kwa mtu popote alipo na delivarable zikakufanya upate hela kwenye account ya kampuni bila kulazimika kuwa na ghorofa kama ofisi.

Ila kama sisi tumezoea kampuni mpaka iwe na watu wengi ndio iwe kampuni na ina jengo lake au la kukodi, kumbe kwa sasa mtu anaweza kuwa na kampuni na akapata kazi kwa ku-negotiate deal then akatoa sub-contacts kwa technical companies na kila mmoja akapata chake na maisha yakasonga.

AZAM Media waulizwe, wanapata deliverables toka kwa huyo mtasha as per makualiano, jibu kama ni ndio basi muandishi wa makala inabidi apate training ya namna ambavyo hata sasa Tanzania, unaweza ukasajili kampuni kwa kuanzia biashara nyumbani kwako say (car park) na ukapata usajili BRELA, TIN maadam umelipia pango na leseni ya biashara na kama ni kazi za uhasibu au IT, unaweza kupiga kazi tokea hapo na ukipata za kutosha ni either uajiri staff uwe na offuce address au baadae ukawa unatoa sub-contracts na kama deliverables zinakuwa realized, basi maisha yanasonga.
 
HUYU mtoa mada ni mshindani wake katika hiyo biashara ya installation, sasa anataka kumualibia. Kama amepewa kazi Azam na ZBC na ame deliver sasa tatizo lipo wapi eti ofisi Dubai.
 
HUYU mtoa mada ni mshindani wake katika hiyo biashara ya installation, sasa anataka kumualibia. Kama amepewa kazi Azam na ZBC na ame deliver sasa tatizo lipo wapi eti ofisi Dubai.
Umesoma na kuelewa au ndio wale 70% ambao JK alisema ni mbumbumbu, bendera fuata upepo?
 
DVI: KAMPUNI HEWA INAYOJIPATIA MABILIONI AZAM MEDIA, IMETUMIA JINA LA AZAM MEDIA NA KUCHOTA MABILIONI ZBC KINYUME CHA SHERIA
  • Ni kampuni ya mfukoni iliyosajiri jina DUBAI, UAE. Inamilikiwa na Mfaransa Gael Lancrenon.
  • Hana Nyaraka halali wala ofisi Dubai, anatumia anuani ya Kampuni ya Ushauri wa kufungua makampuni kama anuani ya ofisi yake.
  • Mnyetishaji wangu akijifanya ni mteja toka Uganda, wakachati akiwa Dubai, akashindwa kumwambia ofisi ilipo ili aitembelee, Whatsaaap chati iko hapo utaisoma.
  • Tetesi ni kuwa mfaransa huyo anashirikiana na Broadcast Manager wa Azam Media kujipatia kazi, wakati hana sifa.
  • Yeye anasema kampuni yake imefanya kazi mbili Azam Media, zenye thamani ya 5,000,000 US Dollar (Zaidi ya bilioni 11 za Kitanzania)
  • Anatumia mitambo na ofisi za AZAM MEDIA kuyaaminisha makampuni mengine kuwa ana uwezo na kampuni yake ni halali huko DUBAI.
  • Tayari ameshajiingiza katika Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) na kufanya kazi huku akiwa hana sifa, huku akijinasibu ndie amefanya Installation ya mifumo mingi ya AZAM MEDIA, na kuwa yeye ndio hutoa Msaada wa Kiufundi (Technical Support).
  • Usajiri wa Kampuni yake ambayo haina Leseni, ofisi, wala haitambuliki na mamlaka za kodi za Dubai hauhusiani na kazi za Media wala Broadcasting.
  • Tumemfuatilia hadi anapodai ana ofisi na tumekuta hana, anaendesha biashara kitapeli.
  • TAKUKURU ichunguze kampuni hii hewa inapataje kazi ZBC? Waangalie bei za kazi alizowahi kufanya, na achunguzwe ilikuwaje akawa anapewa kazi kama Single Source wakati hana sifa wala kampuni yake haifanyi kazi kwa taratibu zinazotakiwa?

UTANGULIZI
DV International, ni jina la kampuni hewa au tuseme ya kitapeli ambayo imejiingiza hapa nchini na tayari kuna baadhi ya kazi wanasema wamezifanya Azam Media, na Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).

Mmiliki wake anayeonekana mbele ni Gael Lancrenon, mfaransa. Anasema ofisi yake iko – Ras Al Khaimah, 1401 Aspect Tower – Business Bay, P.0.Box 181921, DUBAI, UNITED ARAB EMIRATES. Baada ya kufuatilia katika anuani hiyo tumekuta hiyo ni ofisi ya kampuni ya ALLIANCE BUSSINESS COUNCIL LIMITED, kampuni ambayo inajihusisha na usajiri wa makampuni na utafutiaji wa Leseni wa makampuni huko DUBAI. Hivyo hana ofisi Dubai, wala hana compliance Zaidi ya Certificate of Incorporation.

Mhusika wa kampuni hii inaonekana ana ushirikiano mkubwa na Broadcast Manager wa AZAM MEDIA, ajulikanaye kwa jina la SIVAJITH SADASIVAN. Ambae ndie amemleta AZAM MEDIA, na kuuhakikishia uongozi wa AZAM kuwa DV International ni kampuni kubwa Dubai, na kuwa ni tawi la kampuni ya Digital Video International ya Ufaransa, japo katika usajiri wao DUBAI kama nilivyoscreenshort taarifa zake za usajiri wao sio tawi la kampuni yoyote.

Gael anatumia namba zifuatazo; +33614171529 (Namba ya Ufaransa na ndio huitumia kwa mawasiliano haswa Whatsaap), +971501048897 (UAE), na akija Tanzania huwa anatumia +255754318051 kufanya mawasiliano akiwa nchini.

MAHUSIANO YAKE NA AZAM MEDIA
Anajinasibu kuwa kampuni yake hiyo ndio imetengeneza mifumo ya Azam TV na kuwa yeye ndio anaisimamia, anasema amefanya kazi na Azam zenye thamani ya Zaidi ya Dola milioni tano (5,000,000/- USD).

Ana uhusiano wa karibu na Broadcast Manager wa AZAM MEDIA, ajulikanaye kwa jina la SIVAJITH SADASIVAN, ambaye ndie anajua alimtoa wapi na kumuingiza nchini na kuwezesha yeye kupata kazi. Kwa namna yeyote ni mshirika wake katika upigaji.

Zaidi anatumia ofisi za AZAM MEDIA kuwaaminisha watu wengine, zikiwemo taasisi za serikali kuwa yeye ndio amefanya AZAM MEDIA kuwa hapo ilipo, na ili kuwaaminisha huwaambia watu waende AZAM MEDIA na anawaonyesha mitambo ya AZAM ili wamuamini na kumpa kazi.

Mtu wetu alijifanya ni Mteja toka Serikali ya Uganda, akafanya nae mazungumzo kwa njia ya Whatsaap na wakakubaliana aje Nchini wakutane katika ofisi za AZAM MEDIA, yaani kiufupi anatumia ofisi za AZAM MEDIA kufanikisha utapeli wake.

AZAM MEDIA ni kampuni kubwa, ifanye uchunguzi ili kubaini namna mtu huyu anavyoitumia vibaya kampuni yao na kuifanya ofisi hiyo kijiwe chake kila anapokuja nchini.

NAMNA ALIVYOJIPENYEZA ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION (ZBC)
DV international kwa mujibu wa mtoa taarifa wetu amefanya kazi kadhaa hapo ZBC, kwanza hizo kazi kazifanya katika mazingira yasiofuata sheria ya manunuzi Zanzibar. Hizo kazi alikuwa anapewa kama Single Source wakati hana sifa hizo.

Mamlaka za kuchunguza rushwa zifuatilie namna hawa watu walipeana kazi bila ya kutangaza Tender, na Zaidi waangalie bei ambayo alitolea huduma hizo katika mazingira hayo.

Ana watu anaoshirikiana nao toka AZAM MEDIA, waliomshika mkono na kumpeleka ZBC. Na kuna watendaji wasio waaminifu ndani ya ZBC wanaoshirikiana nae katika kufanya miradi hewa ya mabilioni ZBC na kujipatia pesa nyingi isivyo halali.

Na kwa kuwa huyu Gael sio mtu wa Broadcasting basi kuna watu wanaomtumia kufanya deal chafu na kisha wanagawana pesa, ndio maana hata akifanya kazi za mabilioni bado hawezi kukodi hata fremu aonyeshe ndio ofisi maana baada ya dili hugawana pesa na kusubiri dili jingine la kutengenezea pesa.

NB: NIMEWEKA CHAT YAKE NA MTU ALIYEJIFANYA ANATOKA UGANDA, PIA OFFICIAL SEARCH YA JINA LAKE LA KAMPUNI INAYOONYESHA KAZI ALIZOSAJIRIWA KUFANYA.

View attachment 2035489

😈😈😈😈😈😈
 
Ni wivu tu,mtu alipwe mabilioni yote hayo ashindwe kulipia pango la ofisi dubai kweli,lingine kazi inafanyika haifanyiki,kazi za IT na telecom haziitaji kuwa na lijiofisi kuuubwa ni akili tu na watu basi
Ofs anauza uchi huyo?
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom