GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,128
"Mwanamke mwenye Maadili na mwenye Kujitambua ukipigwa na Mumeo hutakiwi Kutangaza kwa Majirani au hata kwenda Kushtaki Kwenu au Ukweni bali unavumilia na unamsubiria Mumeo Hasira zikipungua unamuomba Radhi hata kama unajua kabisa kuwa Mkosaji ni Yeye kwani kwa kufanya hivi utamjengea Kitu Mumeo Moyoni mwake, atabadilika na utashangaa ataanza Kukupenda, Kukusikiliza hadi Watu wataanza kusema kuwa Umemroga" amesema Mwanamke akiongea na UFM ya Azam Media.
Kama GENTAMYCINE nasomwa na Marais Wastaafu (Kikwete) na Aliyeko (Samia) na Waandamizi Wengine mbalimbali mpaka Sekta (Idara) Muhimu (Nyeti) nchini sidhani kama Watu wa Azam Media (na UFM Radio) hamnisomi hivyo basi naomba Ushirkiano wenu mnipe Jina la huyo Mwanamke ili nimtafute na nimzawadie Mbuzi wangu ambaye ataamua amfuge au asubirie Sherehe za Idi au Pasaka amchinje ale.
Na baada ya Kuvutiwa na hili hivi sasa nami GENTAMYCINE namtafuta Mwanamke wangu Mmoja kisha namtafutia Kosa (Sababu) ya Makusudi ili anikere nimzabue / nimfumue kidogo tu ili nione ataufuata huu Ushauri wa huyu Mwanamke Mwerevu niliyempenda wa UFM au ataamua kwenda Kunishtaki Polisi ili niwekwe rumande hata kwa Siku moja ning'atwe vizuri na Mbu na niwe katika Ratiba ya Kusafisha Maliwato za Selo.
Kama GENTAMYCINE nasomwa na Marais Wastaafu (Kikwete) na Aliyeko (Samia) na Waandamizi Wengine mbalimbali mpaka Sekta (Idara) Muhimu (Nyeti) nchini sidhani kama Watu wa Azam Media (na UFM Radio) hamnisomi hivyo basi naomba Ushirkiano wenu mnipe Jina la huyo Mwanamke ili nimtafute na nimzawadie Mbuzi wangu ambaye ataamua amfuge au asubirie Sherehe za Idi au Pasaka amchinje ale.
Na baada ya Kuvutiwa na hili hivi sasa nami GENTAMYCINE namtafuta Mwanamke wangu Mmoja kisha namtafutia Kosa (Sababu) ya Makusudi ili anikere nimzabue / nimfumue kidogo tu ili nione ataufuata huu Ushauri wa huyu Mwanamke Mwerevu niliyempenda wa UFM au ataamua kwenda Kunishtaki Polisi ili niwekwe rumande hata kwa Siku moja ning'atwe vizuri na Mbu na niwe katika Ratiba ya Kusafisha Maliwato za Selo.