Ndio, naamini kuzaliwa Marekani, Canada, Australia, Ulaya, Korea Kusini, Japan au Gulf countries ni bahati inayokupa chance kubwa zaidi ya kufanikiwa na kuishi maisha mazuri kuliko kuzaliwa Sudan, Congo au Tanzania.
Kuzaliwa familia tajiri ni bahati,
Kuzaliwa na IQ kubwa ni bahati,
Kuzaliwa na genes zisizosumbuliwa na magonjwa ni bahati
Kama ni mwanamke kuolewa na tajiri ni bahati
Kwenda kuchimba madini na vifaa duni kisha kuibukia lundo la madini ni bahati
Zipo bahati nyingi sana tofauti kwa wanadamu mbalimbali