Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Ukitembea Tanzania ndani ndan utagundua watu wanaamini ujinga , nikiwa mpwapwa kwenye tatifi za magonjwa fulani , tulikuta watu imani za kichawi zinawatesa sana, nakumbuka kuna familia moja walikua wamemfungia binti wa miaka 17 ndani wakimficha wanadai kalogwa ana toa damu zinanyonywa na jini , kumbe yule binti ana Menometrorrhagia
Ngoja nitafute safari fupi hapa soon nikajipime iq kwanza😆
 
kitambo sana wanasema huko benki wachawi wake ndo balaa sana 🤣
Yani ilimradi tu waonyeshe uchawi upo na haushindwi chochote, sasa sijui mganga gani huwa anafanya mazindiko CRDB na NMB na ni kitengo gani huwa wanasimamia hilo. Itabidi kumpata meneja au Mkurugenzi mmoja wa benki atueleze kiundani mazindiko ya benki process yake na huwa wanampataje na wanalipa kiasi gani waganga wao.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Ngoja nitafute safari fupi hapa soon nikajipime iq kwanza😆
Imani za kichawi ni za kijinga sana nina mifano kibao , kuna mmoja alikugoma kufanyiwa operation kisa mtume alimpa maji ya baraka akimwambia hata fanyiwa operation ya uzazi kwa sababu za nyuma ni nguvu za giza ,mbona aliachwa akakata moto🤔
 
Ukifikiria kwa makini,
Utagundua kuna formullar moja iliyowasaidia hao wote kufanikiwa nje na hizo imani zao.

Discipline, Strategy, Risky, Timing, Leverage, Commitment, Will, Consistency, Patience.
Luck, connections, exploitation, inheritance, crime etc
 
Why niwachukie mtu kaamua kuchezea uhai wake! Imani zinapishana sana sjui kwanini tunajumuishwaga kwenye makundi ya kipuuzi na huwezi kutofautisha ujinga na imani ya kweli
Kwanza hakuna Imani ya ukweli na imani ya uongo kwenye haya masuala ya superstitions, kinachotofautina ni kiwango tu cha msimamo, ujinga na madhara yanayotokana na hizo imani tofauti. Mtu akiamini paka mweusi aliyekatiza mbele yake au bundi aliyekuwa mlangoni kwake ni ishara ya jambo baya ni ujinga lakini hakuna madhara yoyote kwake au wanaomzunguka. Mtu anayeamini viungo vya binadamu vinaweza kumpa mafanikio au mtu ambaye hataki kwenda hospitali akiwa magonjwa kwa sababu ya hizo superstitions huo ni ujinga unaoweza kuambatana na madhara makubwa na maafa.
 
Sijawahi kusema masikini hawaamini uchawi, utakuwa umemsoma mtu mwingine akisema hivyo. Hata hivyo ni ukweli Imani za kichawi, uganga na ushirikina ziko kwa wingi zaidi katika jamii masikini, watu masikini na wenye elimu duni. Wapo matajiri na wasomi pia wanaomini mambo hayo kwa nguvu sana na hii inaweza kuwa inatokana na kukulia katika jamii ya namna hiyo inayowazunguka ambapo mambo hayo na mambo ya mungu yanaongelewa sana karibia kila
Sawa mkuu lakini naweza kusema kwamba, imani yako ww umeifunga kwenye experience yako, maana yako ni kwamba suala usilo liona direct huwez kuamini it means hujawahi experience uchawi mana ake uchawi haupo.

Lakini pia mungu hajawahi kukutendea jema lolote mana ake pia mungu hayupo .

Labda ningependa kuulza ni mara ngapi umeskia taarifa flan kuhusu miujiza au nguvu zisizo za kawaida kutoka sehemu mbali mbali na tofauti ?

Je unahisi hzo taarifa unazoskia kutoka sehemu tofauti tofauti basi ni zakufurahisha au zinatungwa kufurahisha jamii. ?

Kwa point zenu ambazo hua naona mnazileta ni sawa na kusema UKIMWI haupo kwasababu tu hujawahi kuupata.
 
Haya ni mambo ya kiroho zaidi.Mfano mzuri ni huko middle East, Allah vs Yahweh.Unaona mpaka sasa nani kazidiwa??
sasa mkuu middle east wanadundana Allah na Yahweh wanahusika vipi mkuu,

wakati nikiwasikiliza analyst wa kimarekani wanasema israel huwa aridhiki na anachopewa marekani F35 hawakutaka mtu yeyote atumie ila wakafosi kama kawaida yao ikabidi waundiwe F35i, hali kadhalika Iran humwambii kitu kwenye kuziunda drone na missile,


sasa mkuu kiroho ila umesema twende zenji tukaone ngamia anavyozama , hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom