Huu ujinga ujinga hauna tofauti na ule wa kikombe cha babu hivyo sioni cha kujadili na weweEmbu nikuulize swali dogo mnaposema mnataka ushahidi wa kisayansi huwa mnamaanisha nini
Ukinijibu hilo tutaanza kwenda sawa
Kwa mtazamo wako ni ujingaHuu ujinga ujinga hauna tofauti na ule wa kikombe cha babu hivyo sioni cha kujadili na wewe
Uchawi haupo zaidi ya ujinga na kutoelewa mambo na imani tu , kama upo thibitisha uwepo wake , fanya kuniloga sasa hivi ujue jina la mama yanguKwa mtazamo wako ni ujinga
Wanasayans wa kileo wanaamini uwepo wa dark matter(nguvu inayoshikilia galaxy ama ulimwengu) nguvu hyo haionekani, haipimiki wala haishikiki ila inatambulika kwa athari zake
Ikiwa dark matter mnaitambua kwa athari zake kwanini mambo ya kiroho msiyatambue kwa athari zake?
Kumbe unatambua kwamba mtu anaweza kulogwa kwa kujua jina la mamaUchawi haupo zaidi ya ujinga na kutoelewa mambo na imani tu , kama upo thibitisha uwepo wake , fanya kuniloga sasa hivi ujue jina la mama yangu
hivi mkuu siku samia akasimama bungeni au ikulu akahutubia kwamba nchi yetu imelogwa ndo maana watu wamekufa oct 29, mali zetu zinapotea bila habari we utakubali?Kumbe unatambua kwamba mtu anaweza kulogwa kwa kujua jina la mama
Anyway, ukifanyiwa uchawi sio kwamba utaona kuna lizombi linakujia na kukufanyia mambo fulani ila utapatwa na athari tu ambazo kwa akili ya kawaida bila kushtuka utahisi ni majanga ya kawaida..
Chukulia mfano mtu anayefilisika kiuchumi kwasababu ya uchawi, mara nyingi huwa anapatwa na majanga ya kawaida tu ambayo kwa jicho la kawaida unaona ni mapungufu ya kibinadam ila kiuhalisia ni uchawi unakuwa umetumika
Huu ujinga ujinga ukotaneni huko vijijini tuKumbe unatambua kwamba mtu anaweza kulogwa kwa kujua jina la mama
Anyway, ukifanyiwa uchawi sio kwamba utaona kuna lizombi linakujia na kukufanyia mambo fulani ila utapatwa na athari tu ambazo kwa akili ya kawaida bila kushtuka utahisi ni majanga ya kawaida..
Chukulia mfano mtu anayefilisika kiuchumi kwasababu ya uchawi, mara nyingi huwa anapatwa na majanga ya kawaida tu ambayo kwa jicho la kawaida unaona ni mapungufu ya kibinadam ila kiuhalisia ni uchawi unakuwa umetumika
Kwaiyo unamaanisha yeye ni mkuu wa wachawi mpaka useme hivyo?hivi mkuu siku samia akasimama bungeni au ikulu akahutubia kwamba nchi yetu imelogwa ndo maana watu wamekufa oct 29, mali zetu zinapotea bila habari we utakubali?
Nimeelewa mtazamo wako na ujinga sio kejeli ni hali ya mtu kutojua tu jambo , Tanzania kuna miaka tulikua na ujinga wa kuamini ukimwi ni uchawi , kuna vijijini nimekaa na kujenga ,nikaitwa mchawi na Freemasons hivyo ni ujinga tu na kutofahamu, hakuna nilipo kukejeliHapa jukwaani sio wote tunaweza kustahimili maneno ya kejeli
Mimi natoa mtazano wangu na ninatambua maarifa tunazidiana ila sio kwa hicho kipimo chako
Inategemea na aina ya hivyo vijiji ulivyoenda... hapa tanzania ni sehem chache ambazo zinasifika sijawahi fika, ila nyingi nimefika nakuishi kwenye hali za kawaida kabisa kama mzawa hivyo nimejifunza mambo mengi.Nimeelewa mtazamo wako na ujinga sio kejeli ni hali ya mtu kutojua tu jambo , Tanzania kuna miaka tulikua na ujinga wa kuamini ukimwi ni uchawi , kuna vijijini nimekaa na kujenga ,nikaitwa mchawi na Freemasons hivyo ni ujinga tu na kutofahamu, hakuna nilipo kukejeli
Note,, pia sijakutuma u reply comments zangu ungeweza potezea tu
Umeongea maneno ya kiimani tu , imani za kichawi ni imani potofu tu , na ndio maana hata ukikuta sehemu walizoendekeza hizi mambo wana maendeleo duni sana , angalia waziguaInategemea na aina ya hivyo vijiji ulivyoenda... hapa tanzania ni sehem chache ambazo zinasifika sijawahi fika, ila nyingi nimefika nakuishi kwenye hali za kawaida kabisa kama mzawa hivyo nimejifunza mambo mengi.
Wewe kukaa sehem na kutopatwa na athari za uchawi kuna tafsiri kama nne ivi
1.hawakuwa na haja nawe
2.walikuwa hawakufahamu
3.milango yako ya kiroho ilikuwa imefunga hvyo uchawi ungepenya kwa tabu sana ama kwa nguvu kubwa
4.haukuwa na tishio lolote kwao
Na hilo ndilo lengo kuu la uchawi, uchawi haujawahi kuwa njia ya maendeleo bali kuumiza na kurudisha watu nyuma kimaendeleo.Umeongea maneno ya kiimani tu , imani za kichawi ni imani potofu tu , na ndio maana hata ukikuta sehemu walizoendekeza hizi mambo wana maendeleo duni sana , angalia wazigua
Uchawi haupo kilichopo ni ignorance tuNa hilo ndilo lengo kuu la uchawi, uchawi haujawahi kuwa njia ya maendeleo bali kuumiza na kurudisha watu nyuma kimaendeleo.
Kundi kubwa la watu hutumia vibaya uchawi huku kundi dogo tu hutumia uchawi kwa maendeleo cc wahindi
Lazima iwe hivyo kwa sababu dhana ya uchawi ni maneno matupu tu yakisindikizwa na ignorance kubwa kwenye jamiiNo comment
Nikikuambia mimi nililogwa nikawa mshabiki kindakindaki wa Marekani na Israel ila sasa nimeaguliwa naona kama nilikuwa kwenye chungu utakubališ ??Kumbe unatambua kwamba mtu anaweza kulogwa kwa kujua jina la mama
Anyway, ukifanyiwa uchawi sio kwamba utaona kuna lizombi linakujia na kukufanyia mambo fulani ila utapatwa na athari tu ambazo kwa akili ya kawaida bila kushtuka utahisi ni majanga ya kawaida..
Chukulia mfano mtu anayefilisika kiuchumi kwasababu ya uchawi, mara nyingi huwa anapatwa na majanga ya kawaida tu ambayo kwa jicho la kawaida unaona ni mapungufu ya kibinadam ila kiuhalisia ni uchawi unakuwa umetumika
Nikikuambia mimi nilizaliwa mzungu wa denmark ila nilichoma sindano na kuwa mtanzania mwenye asili ya mbeya utakubali?Nikikuambia mimi nililogwa nikawa mshabiki kindakindaki wa Marekani na Israel ila sasa nimeaguliwa naona kama nilikuwa kwenye chungu utakubališ ??
Atutajie majina ya hivyo vitabuwe si umeona mtoa mada vitabu tu alivyosoma kashavicha na anasema ni vya hatari, ila anataka tusikilize story yake na kuikubali š¤£
story za uchawi ni kama za chuma ulete ambavyo hazifanyi kazi benki mkuu