UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,375
- 8,666
Kama itakuwa hivyo ndugu wa mgonjwa itabidi walipe ili mgonjwa wao apatiwe tiba.Kwa hili Uko sahihi.
Ila huwa hawafanyi kazi bila helq atakwambia kuna dawa za kununua zinahitaji hela.
Utafanyaje utalipia ili tiba ianze au utapoteza muda kubishana huku hali ya mgonjwa inazidi kuwa mbaya