Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Kwa hili Uko sahihi.
Ila huwa hawafanyi kazi bila helq atakwambia kuna dawa za kununua zinahitaji hela.
Utafanyaje utalipia ili tiba ianze au utapoteza muda kubishana huku hali ya mgonjwa inazidi kuwa mbaya
Kama itakuwa hivyo ndugu wa mgonjwa itabidi walipe ili mgonjwa wao apatiwe tiba.
 
Kama itakuwa hivyo ndugu wa mgonjwa itabidi walipe ili mgonjwa wao apatiwe tiba.
Yeah ndivyo inavyokuwaga hawafanyi kazi bila hela maana hawana uhakika wa matokeo ya dawa zao.
Lakini pia mbali na hilo asilimia kubwa ya waganga wako na uwezo wa kufanya mazingaombwe/kiini macho kwa maana wana uwezo wa kukuonyesha kuwa mgonjwa wako ametulia unalipa hela ukishafika nyumbani ugonjwa unarudi tena.
 
Yeah ndivyo inavyokuwaga hawafanyi kazi bila hela maana hawana uhakika wa matokeo ya dawa zao.
Lakini pia mbali na hilo asilimia kubwa ya waganga wako na uwezo wa kufanya mazingaombwe/kiini macho kwa maana wana uwezo wa kukuonyesha kuwa mgonjwa wako ametulia unalipa hela ukishafika nyumbani ugonjwa unarudi tena.
Sema masuala ya waganga mapana mno, watu wengi huishia kufikiri waganga ni kama kakundi cha matapeli chenye kazi ya kupiga tu hela kwa watu wenye kuamini uchawi ila wengi hawajui kuwa mganga anaweza kuwa mteja kwa mganga mwenzake.
Kwa maana wapo waganga huuza vitabu vyenye kufundisha uchawi na walengwa wa hivyo vitabu ni waganga wenzao sio watu wa kawaida tu.

Waganga nao pia hulalamika kurogana.
 
Sema masuala ya waganga mapana mno, watu wengi huishia kufikiri waganga ni kama kakundi cha matapeli chenye kazi ya kupiga tu hela kwa watu wenye kuamini uchawi ila wengi hawajui kuwa mganga anaweza kuwa mteja kwa mganga mwenzake.
Kwa maana wapo waganga huuza vitabu vyenye kufundisha uchawi na walengwa wa hivyo vitabu ni waganga wenzao sio watu wa kawaida tu.

Waganga nao pia hulalamika kurogana.
Uko sahihi,na pia kuna waganga wengine hununua dawa kutoka kwa waganga wengine halafu anakuletea.
Na ikitokea umeenda na ugonjwa mgumu ambao hajawahi kuuona hagusi hadi aombe ushauri kwanza kwa mganga mwingine ambaye ni Senior kwake vinginevyo akikurupuka kuanza kuutibu bila tahadhari ule ugonjwa unafyatuka na kuhamia kwake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom