Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

Sipendezwi kivip? onyesha huo uchawi tunapata shida sana hata kuhudumia jamii na kuelimisha kuhusu magonjwa kwa imani za kijinga jinga za kichawi, imani za uchawi ni imani za kijinga sana
Mada inahusu masuala ya kichawi nami nachangia kama wengine ila naona unasema et naaminisha watu imani za kijinga tena inaonyesha unachukizwa kana kwamba mie ndio niliyoleta huu uzi humu. Ndio maana nimekwambia kama unachukizwa na michango yangu kwa namna yeyote ile basi niweke katika Ignore list ili usione hizo imani za kijinga.
 
Mada inahusu masuala ya kichawi nami nachangia kama wengine ila naona unasema et naaminisha watu imani za kijinga tena inaonyesha unachukizwa kana kwamba mie ndio niliyoleta huu uzi humu. Ndio maana nimekwambia kama unachukizwa na michango yangu kwa namna yeyote ile basi niweke katika Ignore list ili usione hizo imani za kijinga.
Hakuna mahala nachukizwa ila imani za kichawi niza kijnga na ujinga wake nimeushuhudia na sio kuambiwa
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ukitembea kwenye jamii hasa ukiwa mtu wa kuelimisha kuhusu changamoto za kiafya utakugundua watu wana imani za kijinga sana kwenye changamoto za kawaida
Mkuu imani za kijinga,potofu au taarifa zisizo sahihi hata katika upande wa afya ni mambo ambayo yapo sio lazima hata yahusishwe na uchawi.
 
Mkuu imani za kijinga,potofu au taarifa zisizo sahihi hata katika upande wa afya ni mambo ambayo yapo sio lazima hata yahusishwe na uchawi.
Mkuu, nimefanya tatifi nyingi za kiafya kuizunguka Tanzania tena ndani ndani , tafiti hizi zilikua zinanitaka nifike mpaka kwa waganga wa kienyeji , hivyo ninacho ongelea na kijua
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Hakuna mahala nachukizwa ila imani za kichawi niza kijnga na ujinga wake nimeushuhudia na sio kuambiwa
Sidhani kama tulikuwa tunajadili kama imani za kichawi ni za kijinga au sio za kijinga, nachoelewa tulikuwa tukijadili uchawi kweli upo au haupo. Sasa kama ulikuwa unakataa uhalisia za uwepo athari za uchawi sababu ni imani za kijinga basi ulikuwa unachanganya mambo. Huko arabuni kuna nchi zimepiga marufuku kujihusisha na masuala ya kichawi kitu ambacho hata mimi nasapoti.
 
Sidhani kama tulikuwa tunajadili kama imani za kichawi ni za kijinga au sio za kijinga, nachoelewa tulikuwa tukijadili uchawi kweli upo au haupo. Sasa kama ulikuwa unakataa uhalisia za uwepo athari za uchawi sababu ni imani za kijinga basi ulikuwa unachanganya mambo. Huko arabuni kuna nchi zimepiga marufuku kujihusisha na masuala ya kichawi kitu ambacho hata mimi nasapoti.
Uchawi haupo ,kilichopo ni imani za kijinga na kutoelewa mambo kiundani tu
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Mkuu, nimefanya tatifi nyingi za kiafya kuizunguka Tanzania tena ndani ndani , tafiti hizi zilikua zinanitaka nifike mpaka kwa waganga wa kienyeji , hivyo ninacho ongelea na kijua
Ndio ueleze sasa mkuu ili watu wapate kuelimika ila ukibaki kuwaambia tu wathibitishe hutowasaidia kuwaelimisha.
 
Uchawi haupo ,kilichopo ni imani za kijinga na kutoelewa mambo kiundani tu
Uwanja ndio huu eleza sasa hayo unayoyajua watu wapate kuelimika na kutoka katika hizo imani, uchawi unahusishwa katika mambo mengi tu hivyo ni vyema ukaeleza hayo ambayo watu hawayajui kiundani.
 
Hoja yake haipo kwenye maana, hoja ipo kwenye mechanism ya utendaji kazi huo uchawi.

Mtu kama anaweza kupotea na kwenda popote kwa sekunde bila kuonekana, then hatutegemei mtu huyu awe ana lala njaa kwake.

Kuna stori kwamba wachawi wanakuja night kali kuloga kupitia kuta za nyumba, mezani unaweza kuwa umeacha kibunda cha maana na wakati huo wao makwao maisha magumu wamepika mlenda, lakini wao wanakuja kukukaba na kukukanda kanda na matako yao then wanasepa.

Ukiuliza watu wanaoamini hizi stori za uchawi wanakuambia kwenye ulimwengu wa kichawi pesa haina thamani ndio maana mchawi hachukui hizo hela.

Lakini mchawi huyo huyo aliyeacha hicho kibunda mezani kwako, eti anakuja kukuibia tena kwenye duka lako kupitia chuma ulete.

Na at the same time unaweza kutana na story kuwa fulani kanunua uchawi.

Sasa hapa mnatuacha njia panda. Hatujui ni muda gani katika ulimwengu wa kichawi pesa inakuwa na thamani na muda gani pesa ni hitaji la lazima.
Na ndio msingi wa hoja yangu humu, kama kitu hukielewi ni sahihi kusema hukikubali au hukiamini ila unapokuja kusema kwa kujiamini kabisa kuwa hakuna uchawi halafu tena unaanza kuuliza uchawi ni nini na unafanyaje kazi? hapo ndio naona tatizo lilipo.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Vipi sasa huyo nyoka alikung’ata au ulishindwa kumfuga? 😹
 
Na ndio msingi wa hoja yangu humu, kama kitu hukielewi ni sahihi kusema hukikubali au hukiamini ila unapokuja kusema kwa kujiamini kabisa kuwa hakuna uchawi halafu tena unaanza kuuliza uchawi ni nini na unafanyaje kazi? hapo ndio naona tatizo lilipo.
sasa mbona wenye taarifa za uchawi hilo swali wakiulizwa wanaingia mitini? na uzi kimsingi mara nyingi hukwama mahali hapo
 
Sawa mkuu lakini naweza kusema kwamba, imani yako ww umeifunga kwenye experience yako, maana yako ni kwamba suala usilo liona direct huwez kuamini it means hujawahi experience uchawi mana ake uchawi haupo.

Lakini pia mungu hajawahi kukutendea jema lolote mana ake pia mungu hayupo .

Labda ningependa kuulza ni mara ngapi umeskia taarifa flan kuhusu miujiza au nguvu zisizo za kawaida kutoka sehemu mbali mbali na tofauti ?

Je unahisi hzo taarifa unazoskia kutoka sehemu tofauti tofauti basi ni zakufurahisha au zinatungwa kufurahisha jamii. ?

Kwa point zenu ambazo hua naona mnazileta ni sawa na kusema UKIMWI haupo kwasababu tu hujawahi kuupata.
Sijajifunga kwenye experience yangu, wala sihitaji kuona directly niamini, nahitaji hata maelezo yaliyonyooka tu yanayoelezea tukio hata moja tu la uchawi. Mambo ya uchawi ukiacha tu kwamba huwa hayana uthibitisho wowote hata story zenyewe huwa zina matobo na contradictions sana kiasi kwamba ni vigumu kuaminika.

Taarifa/Story kutoka sehemu tofauti tofauti wala sio uthibitisho wa chochote zaidi ya kwamba binadamu ni kiumbe wa kutengeneza story na kuziamini mfano utaifa, uzalendo, dini na pesa yote ni mambo yaliyotokana na story tu zilizoaminiwa kwa muda mrefu na watu wengi.

UKIMWI upo kwa sababu Kuna uthibitisho wa kutosha wa kisayansi wa virus na jinsi vinavyofanya kazi. Unaweza kufanya jaribio(experiment) la UKIMWI kwa watu bilioni kwa kurudia njia zile zile na ukapata matokeo yale yale kwa 99%, Huwezi kufanya jaribio la uchawi la kujirudia hata kwa watu kumi tu ili uweze kufanya majumuisho ni kitu gani.
 
Na ndio msingi wa hoja yangu humu, kama kitu hukielewi ni sahihi kusema hukikubali au hukiamini ila unapokuja kusema kwa kujiamini kabisa kuwa hakuna uchawi halafu tena unaanza kuuliza uchawi ni nini na unafanyaje kazi? hapo ndio naona tatizo lilipo.
Na binafsi siamini kama kuna mtu humu ambaye ni mgeni wa maneno "UCHAWI"

UCHAWI ni neno ambalo likitajwa wote tunakuwa tunaelewa muktadha unalenga nini.

Lakini kama katika mjadala kuna mtu amehoji nini maana ya uchawi wala haiwezi kuwa jambo geni kwasababu kwenye mjadala premises za hoja zinaanzia katika definition.

Kuna uwezekano katika mazungumzo yenu kuna mambo umeyaongea ambayo hayaja match na taarifa zake juu ya jambo hilo hivyo anakuomba umpe maana ili aelewe zaidi.

Kwa mfano neno SHETANI tunaweza kuliona kama lipo universal likielezea kitu chenye maana moja inayogusa jamii nyingi.

Lakini kama neno SHETANI tutalifanya mjadala wa kuanza kujadili undani wake, basi hapo tunaweza kuona haja ya maana kwasabau katika ukristo SHETANI ni malaika muhasi wakati katika Uislamu stori ni tofauti.

Kwa hiyo kama mimi nilijenga hoja katika perception ya Ukristo kuhusu SHETANI halafu nikaona kuna sehemu hatuendi sawa basi ni sahihi kuhoji maana ya SHETANI ili nijue upande wako unatafsiri gani.
 
Ukifikiria kwa makini,
Utagundua kuna formullar moja iliyowasaidia hao wote kufanikiwa nje na hizo imani zao.

Discipline, Strategy, Risky, Timing, Leverage, Commitment, Will, Consistency, Patience.
Naaam sahihi, kabisa nipe madini blood
 
Mkuu, nimefanya tatifi nyingi za kiafya kuizunguka Tanzania tena ndani ndani , tafiti hizi zilikua zinanitaka nifike mpaka kwa waganga wa kienyeji , hivyo ninacho ongelea na kijua
Ni sawa hizo ni imani za kijinga ila tambua kabla ya hizi dawa za kisasa kulikuwepo na dawa za miti shamba , elimu ya miti shamba nyingi zimefunuliwa kutoka ulimwengu wa kiroho na kuanza kurithishana kwa wengine
 
Ni sawa hizo ni imani za kijinga ila tambua kabla ya hizi dawa za kisasa kulikuwepo na dawa za miti shamba , elimu ya miti shamba nyingi zimefunuliwa kutoka ulimwengu wa kiroho na kuanza kurithishana kwa wengine
Uthibitisho
 
Back
Top Bottom