meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Long live comrade....Ulimboka
Ndugu yangu nafikiri wakati wa mgomo wewe hukuwa na mgonjwa hospitali. Nafikiri wengi wetu tuliokuwa na wagonjwa hatukukubaliana nao.
Mungu atakulaani wewe, kizazi chako na wengine wote walio na wanaopotosha ukweli. Ukweli ni kuwa mishahara haikuwa ajenda namba moja bali huduma bora za afya. Watanzania wengi walikufa na wanaendelea kufa kwa sababu zile ambazo zilipiganiwa na madaktari. Unafiki wenu wa kubadili madhumuni ya migomo ya watumishi utawahukumu siku ya mwisho.
Hamjui msemalo.Mimi binafsi nimekutana na Dr Ulimboka na kuongea nae kidogo.
Shortly sisi Watanzania ndio tuliomsaliti na mwisho kujikuta amesimama peke yake.Kelele zetu za kwenye keyboard hazina maana.Lakini yeye mwenyewe aliniambia ipo siku haki itapatikana hata kama si sasa.
Swala la kuongwa ni uongo na hata yeye linamsikitisha sana.
Tapeli alikuwa anayafuta umaarufu ameupata
Mungu atakulaani wewe, kizazi chako na wengine wote walio na wanaopotosha ukweli. Ukweli ni kuwa mishahara haikuwa ajenda namba moja bali huduma bora za afya. Watanzania wengi walikufa na wanaendelea kufa kwa sababu zile ambazo zilipiganiwa na madaktari. Unafiki wenu wa kubadili madhumuni ya migomo ya watumishi utawahukumu siku ya mwisho.
Umeshapewa ufafanuzi bado huelewi bora kukuacha tuu. Ukiona uwezo wako wa kuelewa ni mdogo usijadili mambo ya msingi utayapotosha. Kwa taarifa yako baada ya kumgomo ule kutofanikiwa vifo vya ndugu zetu watanzania vimeongezeka sio kwa kukosa huduma za madaktari bali ukosefu wa vifaa na madawa kama walivyokuwa wanapigania madaktari.
raia masikini wengi walikufa sababu ya huo mgomo wa madaktari wakiongozwa na uyo ulimboka,viongozi wa utibiwa nje waliokufa ni masikini.
Uyo Ulimboka alivuna alichopanda na siku zote malipo ni hapa hapa duniani.
migomo yenyewe haikusaidia waliambiwa kama utaki kazi uache,mishahara waliyotaka ni sawa na bajeti nzima hivo tungesimamisha shughuli zote tungekuwa tunalipa mishahara tu.
uyo ni muuaji mkubwa
Few months ago, kuna member mmoja hapa aliulizia juu ya dr. Ulimboka.
Nimeutafuta ule uzi sijauona!!
So kwa kupitia thread hii, naomba nimjulishe kuwa dr ulimboka yuko poa, nimekutana nae jioni hii hapa boma - hai.
Nimeongea nae!
Yuko poa and ok.
Mungu walinde wote wanaoteswa kwa ajili ya kutetea haki.
Amen!!
Tunahitaji madaktari walio kuwa kwenye harakati pamoja nae wathibitishe Kama uli ni msaliti Au mwanaharakati
Acha jazba 'doctor', mpotoshaji ni wewe! Kila mtu anajua kuwa kilichokuwa kinapiganiwa ni maslahi hii habari ya 'huduma bora za afya' kama ni kweli wangeanza kuacha kuomba rushwa kwa wagonjwa, acheni siasa.
sisi binadamu ni watu wabaya sana na tunaiharibu dunia
Few months ago, kuna member mmoja hapa aliulizia juu ya dr. Ulimboka.
Nimeutafuta ule uzi sijauona!!
So kwa kupitia thread hii, naomba nimjulishe kuwa dr ulimboka yuko poa, nimekutana nae jioni hii hapa boma - hai.
Nimeongea nae!
Yuko poa and ok.
Mungu walinde wote wanaoteswa kwa ajili ya kutetea haki.
Amen!!