Dr. Ulimboka is smart and good Now..

Dr. Ulimboka is smart and good Now..

hii ndio list ya madai yao:

1.Posho ya kuitwa kazini (on call allowance) iwe asilimia 10 ya mshahara.
2.Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara.
3.Madaktari wapatiwe nyumba grade A au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30 ya mshahara.
4.Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara.
5.Madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari.
6.Madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 3,500,00/= kwa mwezi.
7.Madaktari wapatiwe Green Card za Bima ya afya.
8.Hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Watendaji Wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
9.Viongozi wa Kisiasa kulazimisha kupewa rufaa nje.
10.Madaktari waliofukuzwa warudishwe kazini.
11.Huduma za afya ziboreshwe nchini.
12.Posho ya uchunguzi wa maiti iongezwe.


kati ya madai 12 ni matatu tu ndio sio maslahi yao binafsi.....yaliyobaki yote ni MASLAHI YAO BINAFSI

madai yao yalikuwa hayawezekaniki kulipwa maana ni sawa na bajeti nzima ya nchi kutumia kuwalipa
 
Hivi walioanzisha jf walikuwa wamekusudia kuwa na michango isiyo na utafiti au great thinkers maana yake ni uhuru wa kuongea hata kama unachoongea ukijui? ! Ifike mahala hasa katika mwaka ujao, iwe ni marufuku mtu kuchangia post ambayo huna uelewa nayo. Mods piga ban hoja zote za ubabaishaji zinazotupotezea mwelekeo. Inapendeza sana kusoma maoni ya wanazuoni wa mada husika na tukaelimika bila kuvuruga jamani!

ulitaka michango ya watu ifanane na yako. acha udikteta mawazo yanatofautina baina ya watu na watu. ndio maana ni jukwaa huru kutoa maoni
 
hii ndio list ya madai yao:

1.Posho ya kuitwa kazini (on call allowance) iwe asilimia 10 ya mshahara.
2.Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara.
3.Madaktari wapatiwe nyumba grade A au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30 ya mshahara.
4.Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara.
5.Madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari.
6.Madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 3,500,00/= kwa mwezi.
7.Madaktari wapatiwe Green Card za Bima ya afya.
8.Hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Watendaji Wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
9.Viongozi wa Kisiasa kulazimisha kupewa rufaa nje.
10.Madaktari waliofukuzwa warudishwe kazini.
11.Huduma za afya ziboreshwe nchini.
12.Posho ya uchunguzi wa maiti iongezwe.


kati ya madai 12 ni matatu tu ndio sio maslahi yao binafsi.....yaliyobaki yote ni MASLAHI YAO BINAFSI

Ngoja niamini hizi data ni za kweli. Huwezi amini madai haya yamejaa ubinafsi na uchoyo. Mwalimu anapewa laki mbili na nusu kwa mwezi na hana chanzo chochote kingine kama wao walivyo na pharmacy, just imagine! Siamini kuwa medicine au pharmacy ndio ya thamani zaidi ya fani zingine, kudai maslahi sio tatizo, tatizo ni kiwango wanachodai, khaaa!
 
madai yao yalikuwa hayawezekaniki kulipwa maana ni sawa na bajeti nzima ya nchi kutumia kuwalipa

kaka wewe kwanini unakuwa na mitazamo iliyokwama?
unafurahia sana kuona matajiri na wanasiasa wakienda kutibiwa South Afrika na India
while maskini wasiojiweza wakifia muhimbili kwa mambo madog yanayoweza kurekebishwa na
serikali?

kwanini ushabikie jambo hili kwa mtazamo hasi?
Hoja ya msingi ya akina Ulimboka ni mazingira bora ya kazi
 
Najua Tanzania na nchi nyingi za Africa tuna matatizo kwenye sekta za Afya tofauti na nchi zilizoendelea lakini lazima ujue maendeleo hayaji kwa siku moja,ulaya wameanza kuendelea toka karne ya 15,kamwe usijifananishe nao.

Chifu, umeongea vizuri sana.....ila hapo kwenye hayo maneno umeharibu.

Ni kweli Ulaya wameanza kuendelea kutoka karne hizo, ila unasahau kitu kimoja mazingira ya kipindi hicho na sasa yanatofautaina sana. Miumbomsingi ya maendeleo iliyokuwepo kipindi hicho, ni tofauti na iliyopo sasa.

Sasa kuna advancement katika kila miumbomsingi hiyo, kuanzia teknolojia, mawasiliano, usafirishaji, rasilimali watu n.k. Kwa maana hiyo, nchi kama yetu Tanzania hatupaswi kuchukua miaka 100 kuendelea kwa kigezo cha kusema eti Ulaya walichukua muda mrefu kuendelea. Nchi zetu zimerahisishiwa sana kuendelea sasa, ni kiasi cha kutransfer teknolojia muhimu za kusukuma maendeleo kutoka huko zinakotengenezwa na kuja kwetu. Pia kusomesha vijana wetu katika fani mbalimbali kwenye vyuo bora kabisa duniani, ili warudi na kuja kutumia ujuzi na weledi walioupata kwa kusukuma maendeleo ya taifa.

Nakupa mfano tu, nchi za Uchina, Korea ya Kusini na zile za Tiger Economies, zilikuwa maskini miaka 30 hadi 50 iliyopita. Kwa nini zenyewe hazijachukua miaka 100 kuendelea?!
 
Chifu, umeongea vizuri sana.....ila hapo kwenye hayo maneno umeharibu.

Ni kweli Ulaya wameanza kuendelea kutoka karne hizo, ila unasahau kitu kimoja mazingira ya kipindi hicho na sasa yanatofautaina sana. Miumbomsingi ya maendeleo iliyokuwepo kipindi hicho, ni tofauti na iliyopo sasa.

Sasa kuna advancement katika kila miumbomsingi hiyo, kuanzia teknolojia, mawasiliano, usafirishaji, rasilimali watu n.k. Kwa maana hiyo, nchi kama yetu Tanzania hatupaswi kuchukua miaka 100 kuendelea kwa kigezo cha kusema eti Ulaya walichukua muda mrefu kuendelea. Nchi zetu zimerahisishiwa sana kuendelea sasa, ni kiasi cha kutransfer teknolojia muhimu za kusukuma maendeleo kutoka huko zinakotengenezwa na kuja kwetu. Pia kusomesha vijana wetu katika fani mbalimbali kwenye vyuo bora kabisa duniani, ili warudi na kuja kutumia ujuzi na weledi walioupata kwa kusukuma maendeleo ya taifa.

Nakupa mfano tu, nchi za Uchina, Korea ya Kusini na zile za Tiger Economies, zilikuwa maskini miaka 30 hadi 50 iliyopita. Kwa nini zenyewe hazijachukua miaka 100 kuendelea?!

tatizo la afrika ikiwemo tanzania ni viongozi. ata mkigoma kama viongoz mliowachagua na kuwaita chaguo la mungu wakukataa basi.
huo mgomo wa madaktari hausaidii wananchi zaidi ya kuwaua.

tatizo ni viongozi
 
tatizo la afrika ikiwemo tanzania ni viongozi. ata mkigoma kama viongoz mliowachagua na kuwaita chaguo la mungu wakukataa basi.
huo mgomo wa madaktari hausaidii wananchi zaidi ya kuwaua.

tatizo ni viongozi

Kama tatizo ni viongozi mgomo wa madaktari chini ya Uongozi wa Ulimboka (Dr) ulikuwa ni msingi mzuri kwa sisi sote kama taifa kuungana kuleta marekebisho ya sekta ya afya lakini wengi wenu mlikuwa mstari wa Mbele kuvuruga ili tuendelee kufanya maigizo na afya za watu. Viongozi wa Afrika namna pekee ya kuwaogopesha wafanye kadri ya matakwa ya wananchi ni kupitia migomo inayoungwa mkono na wananchi wengi zaidi. Kinyume cha hapo tutasubiri hadi karne ya 40. Wenyewe Hosp. Zao ziko nchi ambazo marais wao wanajali sekta ya afya , hospital za nchini wanazitumia wakati wa kutoa pole kwa waliopata ajali
 
atakulaani wewe mwenyewe,ule mgomo wa madaktari ulisababisha vifo vya masikini wala siyo kukomoa viongozi.Pamoja na kugoma nini kimebadilika? zaidi waliambiwa waache kazi na wao wenyewe wakajirudisha kazini.
Kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko siyo kwa mgomo,madaktari wakigoma ni mahafa makubwa sana kwa raia masikini.Ndugu yako angekufa kwa sababu ya mgomo huo ndio ungeelewa nini nasema.

Najua Tanzania na nchi nyingi za Africa tuna matatizo kwenye sekta za Afya tofauti na nchi zilizoendelea lakini lazima ujue maendeleo hayaji kwa siku moja,ulaya wameanza kuendelea toka karne ya 15,kamwe usijifananishe nao.

Cha muhimu serikali iboreshe sekta za afya lakini madaktari wanaogoma wanakomoa wananchi masikini,wenye uwezo wanaenda hospitali binafsi ,wengine ata nje ya nchi.

usilete siasa hapa angalia wanaotaabika ni hakina nani,uyo ulimboka kitendo alichofanyiwa siyo kizuri ila siwezi kumuonea huruma sababu kuna watu walikufa kwa sababu ya kuongoza huo mgomo uliokuja kushindwa.

Na ata hao madaktari walimsaliti ,kwenye shida hawakuwa naye,mgomo wa madaktari usiufananishe na migomo ya bodaboda au wasukuma mikokoteni.

Madaktari wakigoma ni majanga wala usiunge mkono,huyo ulimboka ni smart kwako tu,mi kwangu ni muhuaji tena aliyetelekezwa na madaktari wenzake

Kuwa makini na matumizi ya "ha" na "a" muhuaji, mahafa etc
 
raia masikini wengi walikufa sababu ya huo mgomo wa madaktari wakiongozwa na uyo ulimboka,viongozi wa utibiwa nje waliokufa ni masikini.
Uyo Ulimboka alivuna alichopanda na siku zote malipo ni hapa hapa duniani.

migomo yenyewe haikusaidia waliambiwa kama utaki kazi uache,mishahara waliyotaka ni sawa na bajeti nzima hivo tungesimamisha shughuli zote tungekuwa tunalipa mishahara tu.

uyo ni muuaji mkubwa

nyie ndio mnaitwa dickhead!

Rais wako amekwenda USA kutibiwa!Gharama shs ngapi?
Waziri wa Fedha tulisikia yuko South Africa kwa matibabu.

Hizo gharama zote nani analipa?mlipa kodi,ambae anatibiwa Muhimbili,hospitali ya Wanyonge
 
wish mgemjua huyu ulimboka vizuri msingembeza na kumsema vibaya kwa mimi niliyefanya nae kazi namuelewa vizuri tu ni dr mzuri sana na fanisi kwenye kile anachokifanya but mbali na hiyo mishahara hduma ni mbaya kwasababu vifaa hakuna huko mahospitali sm time unaingia kazini unamuangalia mgonjwa hata hujui uanzie wapi sababu tu vifaa hakuna ukiandikia report unaambia fungu hakuna sasa kama serikali haina fungu mimi mfanyakazi nimsaidieje huyu raia kwa namna hii wataendelea kufa ndugu zetu huku hao waliomng'oa meno wanaenda kutibiwa india.

nafikiri yeye aliwakilisha tu madai ya wafanyakazi wote wa sekta ya afya lkn luck was not on his side yeye akaonekana mbaya na mwenye kuchochea zaidi. laiti vifaa vingekuwepo utendaji wa kzi ungekuwa rahisi sana na mishahara isingekuwa big deal sana watu wangeelewa. ila tatizo mishara duni, bado vifaa hakuna,wagonjwa wanalala chini,dawa hazitoshi huyohuyo dr anatibu zaidi ya idadi anayotakiwa kutibu kwa siku huduma bora itatoka wapi tunabaki kumsimanga ulimboka i wish ningeweza kuwachapa viboko hao viongozi na kuchukua hizo posho wanazokalia huko bungeni zisaidie wagonjwa
 
Watu wana ujasiri wa kutoa maoni kwenye mambo ambayo hata undani wake hawayajui!

Inasikitisha...

Bana undani sisi hatuutaki tunakumbuka tu jinsi huyu mpuuz Ulimboka alivyowaua watu kwa upuuz wake na jinsi yeye pia alivyoshughulikiwa. Hasa kugeuzwa friji kwa kuingiziwa chupa ya fanta.
 
Few months ago, kuna member mmoja hapa aliulizia juu ya dr. Ulimboka.
Nimeutafuta ule uzi sijauona!!

So kwa kupitia thread hii, naomba nimjulishe kuwa dr ulimboka yuko poa, nimekutana nae jioni hii hapa boma - hai.
Nimeongea nae!
Yuko poa and ok.

Mungu walinde wote wanaoteswa kwa ajili ya kutetea haki.
Amen!!

Bana undani sisi hatuutaki tunakumbuka tu jinsi huyu mpuuz Ulimboka alivyowaua watu kwa upuuz wake na jinsi yeye pia alivyoshughulikiwa. Hasa kugeuzwa friji kwa kuingiziwa chupa ya fanta.

mateso aliyopata kamwe hawezi anzisha mgomo tena
 
hii ndio list ya madai yao:

1.Posho ya kuitwa kazini (on call allowance) iwe asilimia 10 ya mshahara.
2.Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara.
3.Madaktari wapatiwe nyumba grade A au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30 ya mshahara.
4.Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara.
5.Madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari.
6.Madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 3,500,000/= kwa mwezi.
7.Madaktari wapatiwe Green Card za Bima ya afya.
8.Hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Watendaji Wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
9.Viongozi wa Kisiasa kulazimisha kupewa rufaa nje.
10.Madaktari waliofukuzwa warudishwe kazini.
11.Huduma za afya ziboreshwe nchini.
12.Posho ya uchunguzi wa maiti iongezwe.


kati ya madai 12 ni matatu tu ndio sio maslahi yao binafsi.....yaliyobaki yote ni MASLAHI YAO BINAFSI

mkuu ulisahau sifuri moja, nimekuongezea kwenye red
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom