Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
Kabakia jina tu, wazee walisaga zile goroli zikawa ujiuji sasa anaitwa aka mauji
halipata hukumu apa apa duniani.Hawezi kurudia tena lazima akae kimya
Kabakia jina tu, wazee walisaga zile goroli zikawa ujiuji sasa anaitwa aka mauji
hii ndio list ya madai yao:
1.Posho ya kuitwa kazini (on call allowance) iwe asilimia 10 ya mshahara.
2.Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara.
3.Madaktari wapatiwe nyumba grade A au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30 ya mshahara.
4.Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara.
5.Madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari.
6.Madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 3,500,00/= kwa mwezi.
7.Madaktari wapatiwe Green Card za Bima ya afya.
8.Hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Watendaji Wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
9.Viongozi wa Kisiasa kulazimisha kupewa rufaa nje.
10.Madaktari waliofukuzwa warudishwe kazini.
11.Huduma za afya ziboreshwe nchini.
12.Posho ya uchunguzi wa maiti iongezwe.
kati ya madai 12 ni matatu tu ndio sio maslahi yao binafsi.....yaliyobaki yote ni MASLAHI YAO BINAFSI
Hivi walioanzisha jf walikuwa wamekusudia kuwa na michango isiyo na utafiti au great thinkers maana yake ni uhuru wa kuongea hata kama unachoongea ukijui? ! Ifike mahala hasa katika mwaka ujao, iwe ni marufuku mtu kuchangia post ambayo huna uelewa nayo. Mods piga ban hoja zote za ubabaishaji zinazotupotezea mwelekeo. Inapendeza sana kusoma maoni ya wanazuoni wa mada husika na tukaelimika bila kuvuruga jamani!
anadunda vyema sasa, jambo la kumshukuru mungu!
hii ndio list ya madai yao:
1.Posho ya kuitwa kazini (on call allowance) iwe asilimia 10 ya mshahara.
2.Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara.
3.Madaktari wapatiwe nyumba grade A au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30 ya mshahara.
4.Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara.
5.Madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari.
6.Madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 3,500,00/= kwa mwezi.
7.Madaktari wapatiwe Green Card za Bima ya afya.
8.Hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Watendaji Wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
9.Viongozi wa Kisiasa kulazimisha kupewa rufaa nje.
10.Madaktari waliofukuzwa warudishwe kazini.
11.Huduma za afya ziboreshwe nchini.
12.Posho ya uchunguzi wa maiti iongezwe.
kati ya madai 12 ni matatu tu ndio sio maslahi yao binafsi.....yaliyobaki yote ni MASLAHI YAO BINAFSI
madai yao yalikuwa hayawezekaniki kulipwa maana ni sawa na bajeti nzima ya nchi kutumia kuwalipa
Najua Tanzania na nchi nyingi za Africa tuna matatizo kwenye sekta za Afya tofauti na nchi zilizoendelea lakini lazima ujue maendeleo hayaji kwa siku moja,ulaya wameanza kuendelea toka karne ya 15,kamwe usijifananishe nao.
Chifu, umeongea vizuri sana.....ila hapo kwenye hayo maneno umeharibu.
Ni kweli Ulaya wameanza kuendelea kutoka karne hizo, ila unasahau kitu kimoja mazingira ya kipindi hicho na sasa yanatofautaina sana. Miumbomsingi ya maendeleo iliyokuwepo kipindi hicho, ni tofauti na iliyopo sasa.
Sasa kuna advancement katika kila miumbomsingi hiyo, kuanzia teknolojia, mawasiliano, usafirishaji, rasilimali watu n.k. Kwa maana hiyo, nchi kama yetu Tanzania hatupaswi kuchukua miaka 100 kuendelea kwa kigezo cha kusema eti Ulaya walichukua muda mrefu kuendelea. Nchi zetu zimerahisishiwa sana kuendelea sasa, ni kiasi cha kutransfer teknolojia muhimu za kusukuma maendeleo kutoka huko zinakotengenezwa na kuja kwetu. Pia kusomesha vijana wetu katika fani mbalimbali kwenye vyuo bora kabisa duniani, ili warudi na kuja kutumia ujuzi na weledi walioupata kwa kusukuma maendeleo ya taifa.
Nakupa mfano tu, nchi za Uchina, Korea ya Kusini na zile za Tiger Economies, zilikuwa maskini miaka 30 hadi 50 iliyopita. Kwa nini zenyewe hazijachukua miaka 100 kuendelea?!
tatizo la afrika ikiwemo tanzania ni viongozi. ata mkigoma kama viongoz mliowachagua na kuwaita chaguo la mungu wakukataa basi.
huo mgomo wa madaktari hausaidii wananchi zaidi ya kuwaua.
tatizo ni viongozi
sisi binadamu ni watu wabaya sana na tunaiharibu dunia
Sikiliza wewe -------- kapuyanga mkware mshenzi wa kwanza, comment yangu na majibu uliyotoa vinaendanaje? acha kuleta karaha, tafadhali tuheshimiane shenzy type kabisa weweHuwezi kuona umuhimu wao kwani unafikiria kutumia hako katundu kako kwenye makalio yako
atakulaani wewe mwenyewe,ule mgomo wa madaktari ulisababisha vifo vya masikini wala siyo kukomoa viongozi.Pamoja na kugoma nini kimebadilika? zaidi waliambiwa waache kazi na wao wenyewe wakajirudisha kazini.
Kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko siyo kwa mgomo,madaktari wakigoma ni mahafa makubwa sana kwa raia masikini.Ndugu yako angekufa kwa sababu ya mgomo huo ndio ungeelewa nini nasema.
Najua Tanzania na nchi nyingi za Africa tuna matatizo kwenye sekta za Afya tofauti na nchi zilizoendelea lakini lazima ujue maendeleo hayaji kwa siku moja,ulaya wameanza kuendelea toka karne ya 15,kamwe usijifananishe nao.
Cha muhimu serikali iboreshe sekta za afya lakini madaktari wanaogoma wanakomoa wananchi masikini,wenye uwezo wanaenda hospitali binafsi ,wengine ata nje ya nchi.
usilete siasa hapa angalia wanaotaabika ni hakina nani,uyo ulimboka kitendo alichofanyiwa siyo kizuri ila siwezi kumuonea huruma sababu kuna watu walikufa kwa sababu ya kuongoza huo mgomo uliokuja kushindwa.
Na ata hao madaktari walimsaliti ,kwenye shida hawakuwa naye,mgomo wa madaktari usiufananishe na migomo ya bodaboda au wasukuma mikokoteni.
Madaktari wakigoma ni majanga wala usiunge mkono,huyo ulimboka ni smart kwako tu,mi kwangu ni muhuaji tena aliyetelekezwa na madaktari wenzake
raia masikini wengi walikufa sababu ya huo mgomo wa madaktari wakiongozwa na uyo ulimboka,viongozi wa utibiwa nje waliokufa ni masikini.
Uyo Ulimboka alivuna alichopanda na siku zote malipo ni hapa hapa duniani.
migomo yenyewe haikusaidia waliambiwa kama utaki kazi uache,mishahara waliyotaka ni sawa na bajeti nzima hivo tungesimamisha shughuli zote tungekuwa tunalipa mishahara tu.
uyo ni muuaji mkubwa
Swali langu je gegedo linafanya kazi? Maana nasikia vijana wa msangi/ighondu/zocka waliharibu kila kitu kwa babu!
Watu wana ujasiri wa kutoa maoni kwenye mambo ambayo hata undani wake hawayajui!
Inasikitisha...
Few months ago, kuna member mmoja hapa aliulizia juu ya dr. Ulimboka.
Nimeutafuta ule uzi sijauona!!
So kwa kupitia thread hii, naomba nimjulishe kuwa dr ulimboka yuko poa, nimekutana nae jioni hii hapa boma - hai.
Nimeongea nae!
Yuko poa and ok.
Mungu walinde wote wanaoteswa kwa ajili ya kutetea haki.
Amen!!
Bana undani sisi hatuutaki tunakumbuka tu jinsi huyu mpuuz Ulimboka alivyowaua watu kwa upuuz wake na jinsi yeye pia alivyoshughulikiwa. Hasa kugeuzwa friji kwa kuingiziwa chupa ya fanta.
hii ndio list ya madai yao:
1.Posho ya kuitwa kazini (on call allowance) iwe asilimia 10 ya mshahara.
2.Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara.
3.Madaktari wapatiwe nyumba grade A au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30 ya mshahara.
4.Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara.
5.Madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari.
6.Madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 3,500,000/= kwa mwezi.
7.Madaktari wapatiwe Green Card za Bima ya afya.
8.Hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Watendaji Wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
9.Viongozi wa Kisiasa kulazimisha kupewa rufaa nje.
10.Madaktari waliofukuzwa warudishwe kazini.
11.Huduma za afya ziboreshwe nchini.
12.Posho ya uchunguzi wa maiti iongezwe.
kati ya madai 12 ni matatu tu ndio sio maslahi yao binafsi.....yaliyobaki yote ni MASLAHI YAO BINAFSI
mateso aliyopata kamwe hawezi anzisha mgomo tena