atakulaani wewe mwenyewe,ule mgomo wa madaktari ulisababisha vifo vya masikini wala siyo kukomoa viongozi.Pamoja na kugoma nini kimebadilika? zaidi waliambiwa waache kazi na wao wenyewe wakajirudisha kazini.
Kuna njia nyingi za kufikisha malalamiko siyo kwa mgomo,madaktari wakigoma ni mahafa makubwa sana kwa raia masikini.Ndugu yako angekufa kwa sababu ya mgomo huo ndio ungeelewa nini nasema.
Najua Tanzania na nchi nyingi za Africa tuna matatizo kwenye sekta za Afya tofauti na nchi zilizoendelea lakini lazima ujue maendeleo hayaji kwa siku moja,ulaya wameanza kuendelea toka karne ya 15,kamwe usijifananishe nao.
Cha muhimu serikali iboreshe sekta za afya lakini madaktari wanaogoma wanakomoa wananchi masikini,wenye uwezo wanaenda hospitali binafsi ,wengine ata nje ya nchi.
usilete siasa hapa angalia wanaotaabika ni hakina nani,uyo ulimboka kitendo alichofanyiwa siyo kizuri ila siwezi kumuonea huruma sababu kuna watu walikufa kwa sababu ya kuongoza huo mgomo uliokuja kushindwa.
Na ata hao madaktari walimsaliti ,kwenye shida hawakuwa naye,mgomo wa madaktari usiufananishe na migomo ya bodaboda au wasukuma mikokoteni.
Madaktari wakigoma ni majanga wala usiunge mkono,huyo ulimboka ni smart kwako tu,mi kwangu ni muhuaji tena aliyetelekezwa na madaktari wenzake