shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,357
nimekupata vizuri.
watakutana tu na historia
Hahaha kweli
nimekupata vizuri.
watakutana tu na historia
I am sure you are the one with an empty brain. A composed brain that thinks and reasons can never give out such foolish comment like yours. Whatever a country you belong must be a bad place to be if at all the people in there are of your kind. Think.
ulitaka michango ya watu ifanane na yako. acha udikteta mawazo yanatofautina baina ya watu na watu. ndio maana ni jukwaa huru kutoa maoni
Mkuu, hapo atakuwa katuacha sisi wa division five.naomba uyaweke hayo maneno kwa kiswahili ili na mimi nikuelewe vizuri
unasema aligeuka Friji?!! DuuuuuBana undani sisi hatuutaki tunakumbuka tu jinsi huyu mpuuz Ulimboka alivyowaua watu kwa upuuz wake na jinsi yeye pia alivyoshughulikiwa. Hasa kugeuzwa friji kwa kuingiziwa chupa ya fanta.
bado wachochezi kama akima Lema.Atakuwa kapata somo hawezi fanya utoto tena kama funzo lilikuwa kubwa sana.
Dhana nzima ya ule mgomo haikueleweka kwa watu wengi, mimi siwalaumu sababu asilimia kubwa ya watanzania wako ignorant na masuala ya afya, hawajui nani yuko responsible na afya zao, may be ule mgomo ulitakiwa ufanyike 2040 huko watu wangeelewa ila zilikuwa ni harakati za kisasa zilizoletwa kwenye jamii ya kizamani