Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Status
Not open for further replies.
jaman huyu mzee hajielewi siku hiz ni wa kusamehe bure umri umekwenda sana yaan lolote litakalo kuja mdomon anatamka tu.
 
Zitto ni sawa na kumbikumbi, ngoja tukate mbawa then tuone ujanja wake kama si kuingizwa kikaangoni na kujikaranga kwa mafuta yake.
 
Last edited by a moderator:
Katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Dr.Wilbroad Slaa amesema Zitto anaweza kufukuzwa kabisa na amewaonya wafuasi wake waache kutumika kwa kusainishwa document fake, "nawaonya mnaomshauri mnaweza kumpoteza huyu kijana", alisema Dr.Slaa.

Pia, Dr.Slaa amesema yeye kama katibu mkuu hajatoa form zozote zinazodaiwa kuoka makao makuu ambazo zinasambazwa ili zisainiwe.

Dr. Slaa katoa kauli hiyo leo mkoani Tabora wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara.

CHANZO:ITV


naomba watu wa USALAMA WAMKAMATE HUYU BABU HII KAULI SI YA KISIASA BALI NI YAKIMAFYA
NA KAMA MTAMPUUZA ANAWEZA KUFANYA KAMA ALIVYOSEMA NCHI HAITATAWALIKA. Take this notes.
 
Mwanzoni nilikuwa namtetea sana hiyu Zitto kumbe hakuna kitu kabisa. Ana busara ndogo kweli kweli!!!!!!!
 
Zitto ni jembe, check alivomtumia salama Dr. Slaa

Nitapambana kutetea uanachama
wangu.
Kwa upinzani ni lazima tufanye
tofauti na CCM. Tuhuma za
matumizi mabaya ya fedha za
umma kwa upinzani ni mbaya
zaidi kuliko. Hivyo uwajibikaji kwa
wote bila kujali vyama. Uwajibikaji
sio msamiati kwa watawala tu bali
kwa viongozi wote. Namna
tunavyotaka nchi iendeshwe
ndivyo hivyo tuendeshe vyama
vyetu. Tuhuma dhidi ya Kiongozi
wa Upinzani kuhusu masuala ya
uadilifu zinapaswa kuhukumiwa
kwa namna ile ile
wanayohukumiwa watawala.
Ninarudia kuwaambia ndugu
zangu kwamba sitoki CHADEMA.
Chama kina jasho langu na
nitapambana mpaka dakika ya
mwisho kutetea haki ya
uanachama wangu.
Mimi ni CHADEMA toka ujana.
Niliingia CHADEMA kwa kuchagua
na sio wengine walioingia kwa
Mazingira Ya kupata fursa za
kugombea. Wengine
wangepitishwa na chama
walichokuwa kuwa wagombea Leo
wasingekuwa upinzani na
inawezekana wangekuwa mawaziri
mizigo au waendesha operesheni
tokomeza!
 
Hizo fomu zinasemaje jamani?, tuwekeeni hapa jamvini tafadhali.
 
hivi, kama cmd mnaweza kumfukuza zzk naomba mniambie mnacho subiri?

CHADEMA NI CHAMA MAKINI,Hata kwa wengine kadhaa wakiwamo madiwani wa Ars walipewa muda wa kujitathmini na kujirudi.,watu walipiga kelele hivihivi za kikibaraka,mwishowe walifukuzwa na chama ndio kikazidi kuimarika zaidi na zaidi ref.4-0 na kipenga cha feb kikilia tutakua tunaongelea kwenye tano bila."KIUKWELI ZITO AMELELEWA TU NA CHAMA KWANI WENGINE TULIONA UKUADI (usaliti wake kwa umma)MDA MFUPI TU BAADA YA KUJIKWAA KUNAKO KAMATI YA MADINI MIAKA ILEE HADI LEO MIGODI KADHAA IMEBAKI MITUPU NA BADO TUNAUZIWA,ALICHOJENGA NI JINA LAKE".;;;:::KWA HIVI ANAVYOISIGINA KATIBA LIVE~‘NO WAY OUT-NO WAY IN~ATAONDOKA KAMA WALIVYOONDOKA MADIWANI WA ARUSHA WALIODHANI WAO NI ZAIDI YA CHAMA MAKINI NA KUIACHA CHADEMA IKIZIDI KUCHANUA NA KUNUKIA KWELI'.
 
Zitto ni jembe, check alivomtumia salama Dr. Slaa

Nitapambana kutetea uanachama
wangu.
Kwa upinzani ni lazima tufanye
tofauti na CCM. Tuhuma za
matumizi mabaya ya fedha za
umma kwa upinzani ni mbaya
zaidi kuliko. Hivyo uwajibikaji kwa
wote bila kujali vyama. Uwajibikaji
sio msamiati kwa watawala tu bali
kwa viongozi wote. Namna
tunavyotaka nchi iendeshwe
ndivyo hivyo tuendeshe vyama
vyetu. Tuhuma dhidi ya Kiongozi
wa Upinzani kuhusu masuala ya
uadilifu zinapaswa kuhukumiwa
kwa namna ile ile
wanayohukumiwa watawala.
Ninarudia kuwaambia ndugu
zangu kwamba sitoki CHADEMA.
Chama kina jasho langu na
nitapambana mpaka dakika ya
mwisho kutetea haki ya
uanachama wangu.
Mimi ni CHADEMA toka ujana.
Niliingia CHADEMA kwa kuchagua
na sio wengine walioingia kwa
Mazingira Ya kupata fursa za
kugombea. Wengine
wangepitishwa na chama
walichokuwa kuwa wagombea Leo
wasingekuwa upinzani na
inawezekana wangekuwa mawaziri
mizigo au waendesha operesheni
tokomeza!
Ni unafiki tu unaomsumbua Zito,"KUNA WATANZANIA HAWANA CHAMA WANAAMINI KATIKA MABADILIKO NA KWA SASA TUMAINI LAO LIKO CHADEMA,YEYE KAAMUA KUIGAWANYA HIYO NGUVU KWA FAIDA YA WATAWALA KWA MANENO MENGINE NI MSALITI WA MABADILIKO ANAYO-ACT KUYAPIGANIA.,NI WAZI KWA SASA HANA JINGINE ZAIDI YA KUTEGEMEA KUWA MBUNGE KWA KIVULI CHA MAHAKAMA NA ALLAH WA SUBHANA~LAH AMWEPUSHE NA MABALAA KWANI WANAOMPA KICHWA NA KUMTUMIA KWA UPANDE WA WATAWALA HUWA HAWANAGA LA KHERI,WANAWEZA KUKUTUMIA VYOVYOTE HATA KWA KIFO".
 
zzk anajaribu kujisafisha kwa watu ambao hawajamuwajibisha ni kituko sana
 
Acha kupindisha ukweli!

Kelele za nn kama chuma chakavu tafuta kilainishi utulie nenda Itv habari ya saa mbili usiku kwa youtube zao ujipatie habari then rudi javini kama nimepindisha ndo unihukumu
 
Dr.W.Slaa anajaribu kisema kila kinacho fanywa na wanao mpenda na kimuunga mkono zitto basi kime andaliwa na zitto?

Dr.W.Slaa atwambie ni kipengele gani na ni sheria hipi inatoa nafasi mtu kuhukumiwa kwa kosa la mwingine?

Dr.W.Slaa anajaribu kusema kamati kuu yote itakubaliana na mawazo yake ya kumfukuza mtu kwa kuwa wafuasi wake wanataka kuandamana na wameandaa document za kusaini?

Dr.W.Slaa anajaribu kutwambia kamati kuu yote ina fikiri kama yeye na itafanya maamuzi kilingana na matakwa yake?

Dr.W.Slaa anajaribu kusema wafuasi wake wanao mtukana zitto au watu wengine huwa ana watuma?
Dr.W.Slaa kwanini unajaribu kuonesha umeiweka kamati kuu mfukoni.

aki uewadia a kumfukuzacheo chake atakuwa aliekuwa mwanachama wa chadema hana adabu hawezi beba mabuungutu CMiju jerumani kukaraisha chama liosema yukowne ay roll ya ikulu sasa ndio tunathbitisha zito out
 
Zitto ni jembe, check alivomtumia salama Dr. Slaa

Nitapambana kutetea uanachama
wangu.
Kwa upinzani ni lazima tufanye
tofauti na CCM. Tuhuma za
matumizi mabaya ya fedha za
umma kwa upinzani ni mbaya
zaidi kuliko. Hivyo uwajibikaji kwa
wote bila kujali vyama. Uwajibikaji
sio msamiati kwa watawala tu bali
kwa viongozi wote. Namna
tunavyotaka nchi iendeshwe
ndivyo hivyo tuendeshe vyama
vyetu. Tuhuma dhidi ya Kiongozi
wa Upinzani kuhusu masuala ya
uadilifu zinapaswa kuhukumiwa
kwa namna ile ile
wanayohukumiwa watawala.
Ninarudia kuwaambia ndugu
zangu kwamba sitoki CHADEMA.
Chama kina jasho langu na
nitapambana mpaka dakika ya
mwisho kutetea haki ya
uanachama wangu.
Mimi ni CHADEMA toka ujana.
Niliingia CHADEMA kwa kuchagua
na sio wengine walioingia kwa
Mazingira Ya kupata fursa za
kugombea. Wengine
wangepitishwa na chama
walichokuwa kuwa wagombea Leo
wasingekuwa upinzani na
inawezekana wangekuwa mawaziri
mizigo au waendesha operesheni
tokomeza!

Bora apambane kugombea unachamawake akiwa nj ya chadema aene fedha alizopewa zitamsaidia kuanaa mashtaka mahakamani
 
naomba watu wa USALAMA WAMKAMATE HUYU BABU HII KAULI SI YA KISIASA BALI NI YAKIMAFYA
NA KAMA MTAMPUUZA ANAWEZA KUFANYA KAMA ALIVYOSEMA NCHI HAITATAWALIKA. Take this notes.[/QUOTchademapiga boot huyu yuko na akina wassira mtabaki munasema yao badala ya chama hii limalizwe mapema kabla a mwaka mpya
 
mwanzo wa kujifungua ni kuumwa uchungu, na anayeumwa uchungu ana tabia ya kuhangaika huku na kule. Nafikiri sasa mtoto anakaribia kuzaliwa
 
Zitto anadai ni mwanachama mtiifu na mwaminifu kwa chama, huku akipokelewa kwa mabango yanayowadhalilisha viongozi na chama, huu ni zaidi ya unafiki na uzandiki. Wanachadema na chadema wawe makini sana na viongozi wa aina hii. Dr. Slaa yuko sahihi!

Anashindwa kulisemea hilo la kupokewa na mabango ya kudhalilisha chama halafu anasema. Yeye ni mtiifu? Ndio maana nimesema mahali kuwa huyu ni mwanasiasa Kijana mjinga haijapata kutokea katika historia.
Umaarufu wa kisiasa unatokana na chama chako hivyo lazima ukipiganie wakati wote,ukishindwa basi wewe sio mwanasiasa tena. Huyu kweli ni zoba ila hatukujua tuu, bahati nzuri kaamua kujipnyesha mwenyewe how Zoba he is .
 
Bado wanasubiri siku ya 14, whoops sorry, siku ya 114 ndiyo watoe hukumu ya Zitto.

Chezea Zitto wewe!!!

Siku 14 ni alizopewa yeye kuwasilisha utetezi wake. Sio za maamuzi ya KK. Hiyo KK itakaa kwa ratiba yake. Halafu mbona kuna moto sana na siku 14 kuhitimisha adhabu? Muulizeni mama yake naye si ni mjumbe wa KK!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom