Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Alafu anapenda sana amri,mara 'we DJ zima kwanza,rudia,acha hiyo,mbona husikii n.k,kauli zake ni kama yuko Jkt makotopora.Na bora leo tumeweza kujua kwanini huwa haongei Mara kwa Mara,simply hajuhi kujieleza akajenga hoja na ana papara sana
 

Ndugu yangu umeongea jambo la maana sana,mdahalo ni muhimu mno na ilibidi kwenye katiba mpya pawepo na kipengele kabisa ili wachovu wasipate nafasi kabisa.
 
El hana uwezo wa kujieleza kwani ninauhakika hata mimi haniweze kwa kujieleza popote pale iwe jukwaani na hata kama itakuwa vikao vya kawaida!

Hatutaki maneno mengi sisi tunachotaka ni vitendo ishu ziende kama zinavitakiwa na ahadi zitekelezeke,tunataka tufike nchi ya ahadi na wakutupeleka huko ni lowasa .
 
Mtakuja kutuletea mtu tupate aibu kama ile ya Obama alipokuja Jk akawa anajikanyaga tu zis zat hatahajuwi aanzie wapi.bora hata huyu tutasema kiingereza kilimshinda.sasa huyu lowasa hata kiswahili hawezi jamani tumsaidiaje? Tahadhari kabla ya hatari.
 
Najiuliza hivi ataweza kweli ku-address UN General Assembly kama Head of State na speech yake ikawa na mvuto?

Mkuu unazungumzia UN? nina uhakika hata hapo nchi jirani Nairobi hawezi kutoa hotuba watu wakapoga makofi achilia mbali huko united nations
 
lowasa anajaziba. Hana uwezo wa kitulia na kujenga hoja. Tangu ln mwizi akapata ujasiri wa kusema bila kupepesa macho kwamba atapambana na majambazi wenzake?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…