Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
[h=2]View Poll Results: Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?[/h] Voters
726.

[h=3]This poll will close on 2nd April 2016 at 13:35[/h]
  • Edward Lowassa

    81 11.16%

  • Dr. Willibrod Slaa


    603 83.06%
  • Wote hawafai/sijaamua

    42 5.79%


Moderator nadhani kuna makosa ya kiuandishi hapo juu.

Hadi tarehe hiyo na mwezi huo tayari tuka kuwa na amiri Jeshi Mkuu wa JMTanzania/Tanganyika.


CC @Sr.Magdalena
 



haya kumekuchaaaa!!!! Sema kweli, kati ya hawa wawili nani kiboko zaidiii??? "a" kwa ngoyayi lowassa, na "b" kwa dkt. Slaa.

 

Attachments

  • eDWARD.jpg
    eDWARD.jpg
    9.6 KB · Views: 1,224
  • Dkt Slaa.jpg
    Dkt Slaa.jpg
    36 KB · Views: 355
Hakuna mwenye uwezo wa kushindana na Dr.Slaa .Lowasa hafai kugombea uraisi wa tanzania
 
Dr Slaa for presidency. Believed in 2011 and still the guys is determined despite of all rifts from ccm. Now the light is clear the country is coming to wananchi
 
Sasa ndo nini uchaguzi October 2015 wewe kura yako ya maoni unafunga April 2016.Hukujipanga mkuu unampeleka mgonjwa kwa daktari baada ya kufa au unaenda kufanya postmoterm
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom