Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Sasa mbona kama mnaleta masiara jamani, Huyo jamaa wa monduli si aliambiwa azunguke uwanja wa mpira Round moja ndio akachukue form ya uraisi?

Sasa kama jambo dogo tu alishindwa ndo hili la kupambana na Slaa ataliweza?

Alafu kwanini mnataka mpambano kati ya mgonjwa na Dr. ?
 
Dr Slaa ni raisi wa Jamii forums !! na Lowasa ni raisi wa Mafisadi!
 
dr slaa ni raisi wa jamii forums !! Na lowasa ni raisi wa mafisadi!

ww mwana jf piga kura yako sasa. Si umo kwenye jf?
Sasa tupe chaguo lako kati ya hao nani unamkubali humu jf
 
Aise nashindwa hata niseme nini?hao wazee kweli bado watagombea tu?ama ni hisia zako,na je vyama vyao umejuaje kama vitawateua?basi kwa kuwa unabashiri na siye tupe nafasi ya kubashiri nahisi kama wote hao wawili hawatakutana katika mpambano huo>
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom