chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Inaanza lini ili rais wa moyo Dr Slaa alambe yangu
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa anapambanishwa na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa kupata mwanasiasa bora anayekubalika zaidi kwa ajili ya kuwania TUZO YA JAMII.
Shirika la Tanzania International Awards ndilo linaratibu shindano hilo.Wapo pia wanasiasa wengine pia wanaowania tuzo hiyo kama Mizengo Pinda,James Mbatia,Ibrahim Lipumba,Bernard Membe na wengineo ingawa mchuano zaidi unaonekana ni kati ya Dr Slaa na Lowassa
Pia kuna tuzo kwa ajili ya vijana na wanapambanishwa John Mnyika,Halima Mdee,David Kafulila,Mwigulu Nchemba,Saada Mkuya na wengineo.
Mpambano huo unafanyika kwa kutuma ujumbe mfupi wa maneno kwa mfano kumchagua Dr Slaa unaandika ujumbe MM03 kwenda 15522.
Ukiona tumefika mahali ambapo wahujumu uchumi na mafisadi papa waliolilaza taifa njaa wakipambanishwa na wazalendo wa kweli na wenye uchungu na nchi basi ujue Taifa hilo limeoza na kuangamia.
Ni matusi kumpambanisha Baba wa Taifa Dr.Slaa na Mtu kama lowasa hivyo ni sawa na kumpambanisha Malaika Gabriel na Jinamizi. Eeh Mungu tuhurumie.
UKOMBOZI KWANZA DEMOKRASIA BADAE
Ivi jamani lowassa naye yupo kwenye mashindano kwa ajili gani? Lengo nini? afadhali slaa hana kashfa hata kidogo
Ivi jamani lowassa naye yupo kwenye mashindano kwa ajili gani? Lengo nini? afadhali slaa hana kashfa hata kidogo
Wenye hela watajipigia wenyewe
Kama upinzani unakataa demokrasia basi usahau kushika hii nchi.
Lowasa anakula kura yanguHatuwezi kuwa na rais asiyelipa kodi, kati ya hawa kuna mmoja analipwa posho ya 7m ambayo haikatwi kodi.