Samwel Meleka
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 601
- 269
Dr slaaa
ili wake zetu wabaki salama, Rais atakuwa ni EDWARD LOWASA
CHADEMA kwa sasa iko vizuri na kina nguvu..lakini Dr Slaa hana hekima ya kutosha ya kuongoza nchi kama Tanzania hasa kwa kauli zake..UKAWA wachague mgombea mwingine kwa makini zaidi
UjasomekaMwenye hekima yupoje ama kweli nabii hakubaliki kwao kusoma hujui hata picha?
Vita inaanzaga na maneno.... Unataka maneno mazuri? Kwani wewe ni demu, kapate maneno mazuri kwa mumeo.!