JF, kama mtandao unaoheshimika nchini na kwingineko, ilifanya utafiti juu ya nafasi ya Dr. Wilbrod Peter Slaa na Edward Ngoyai Lowassa katika Urais wa nchi hii hapo 2015. Hakuna haja ya kufutilia tafiti za Twaweza na wengineo tukaacha tafiti yetu wenyewe.
Katika tafiti ya JF iliyoanzishwa na Mkuu Salary Slip katika uzi wa URAIS 2015: Dr. Willibrod Slaa vs Edward Lowassa, Dr. Slaa amemuacha mbali sana Lowassa. Natoa rai kwa wana-JF kujenga mazoea ya kuthamini ya kwetu kwanza. Matokeo kwa kifupi yalikuwa hivi:
Jumla ya kura zilizopigwa zilikuwa 720. Dr. Slaa amepata kura 597 sawa na asilimia 82.92%. Lowassa alipata kura 81 sawa na asilimia 11.25%. Kura 42 sawa na asilimia 5.83% zilikuwa za wote hawafai/sijaamua
Hivi Lowassa anacheo gani
Mg Slaa anatambulika kama doctor halafu Lowassa kama mwizi kwahiyo utambulisho Wao uko hivi,
Dr.Willbroad Peter Slaa
Mwz.Edward Ngoyai Lowassa
The teh teh teh ....tehhhhhhhhhhhhhj
Dr.SLAA -SI MWIZI
Hakuna dr. Slaa wala nani kwanza mtu mwenyewe hana hata mbele wala nyuma hadhi ya urais hana!!!!!! Yupoyupo tu hayo yote ni maneno matamu anayoongea ili wananchi wamuamin wajue ni mtu mwema kumbe hana lolote ni kampain tu ataishia kunawa tu nakula kwa macho labda ahame chama
CHADEMA kwa sasa iko vizuri na kina nguvu..lakini Dr Slaa hana hekima ya kutosha ya kuongoza nchi kama Tanzania hasa kwa kauli zake..UKAWA wachague mgombea mwingine kwa makini zaidi