Dr Slaa Vs Lowassa

Dr Slaa Vs Lowassa

ili wake zetu wabaki salama, Rais atakuwa ni EDWARD LOWASA
 
dr. slaa ndo kiboko ya mafisadi, mwaka 2007 alianza kwa kuweka hadharani eleven list of shame, na lowasa alikuwepo ktk hio list, sasa hamuoni km leo hii ni kituko kuwalinganisha hawa jamaa? hapo ni sawa na
kulinganisha mlima kilimanjaro na kichuguu, dr. slaa ndo mt. kilinanjaro na lowasa nikichuguu

Hii ngoma hata ukienda facebook ni Dr.Slaa ndio kinara kwahiyo madai kuw JF imetawaliwa na pro-CHADEMA ndio maana Dr.anaongoza hayana msingi katika hii poll.
 
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.

Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.

NB😛iga kura bila kuendesha campaign yoyote.

Wakuu,ukienda hata kwenye ukurasa wa facebook kuhusu hii poll,utagundua tofauti baina ya hawa watu wawili ni sawa na mbingu na ardhi!

Hii poll hapa JF ni kioo tosha cha kuongoza vyama hivi wakati wa uteuzi utakapofika.

------------------------------------------------------------------

*Kwa maoni zaidi ya washiriki wa JamiiForums kupitia ukurasa wa Facebook - Dr. Wilbrod Slaa Vs Edward Lowassa (JamiiForums facebook page)
attachment.php


Wote hawafai....
 
Hili suali tunahitaji jf kupitia kwa Maxence Mello aitishe press atoe matokeo yenye majibu ya kura ya maoni iliyoendeshwa humu na wadau juu ya wanasiasa hawa.

Ama kwa kuwa DR SLAA ALISHINDA NDO HAMTANGAZI?
 
Mods mjulisheni Zitto, kuwa Dr.Slaa sio mtu tena ni taasisi yeye heshima kimataifa. Na wapambe wooooote mpeni taarifa hii ''Yuda'' wenu
Mods mjulisheni Zitto, kuwa Dr.Slaa sio mtu tena ni taasisi yeye heshima kimataifa. Na wapambe wooooote mpeni taarifa hii ''Yuda'' wenu

siku zinakwenda kwa kasi sana na wewe ulibadilishia gia angani hahaaaaa
 
Ni ujinga wa kiwango cha juu, kumlinganisha Dr Slaa na huyo Babu yenu, yaani huku ni kumdhihaki Dr kumlinganisha na mtu mwenye kila aina ya tuhuma, Muacheni Dr apumzike.

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Hizi nyuzi za zamani naona members wengi hawako active! watakuwa walibadili majina baada kuona mambo yamebadilika
 
Back
Top Bottom