dr. slaa ndo kiboko ya mafisadi, mwaka 2007 alianza kwa kuweka hadharani eleven list of shame, na lowasa alikuwepo ktk hio list, sasa hamuoni km leo hii ni kituko kuwalinganisha hawa jamaa? hapo ni sawa na
kulinganisha mlima kilimanjaro na kichuguu, dr. slaa ndo mt. kilinanjaro na lowasa nikichuguu