Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Hebu fanya kuzinyumbulisha zaidi hizi asilimia ziwe katika muundo uliozoeleka kati ya 0 -100%
Tayari Mkuu watu8
Last edited by a moderator:
Hebu fanya kuzinyumbulisha zaidi hizi asilimia ziwe katika muundo uliozoeleka kati ya 0 -100%
The president to be,, dr.slaa,,,
Tatizo la kukimbia hesabu, hesabu za asilimia zinafundishwa darasa la tano, hata huko mkuu hukufika??? umefika!!! sasa inakuwaje.
Swadakta mkuu, kumbe awali kulikuwa na muingiliano wa tarakimu...
Mkuu umefanyajefanyaje hapa kunukuu uzi?
moyo wangu to the exclusionDr wa ukwee Slaa ni rais wa mioyo ya watanzania.
Bawacha na Bavicha kwakujipa moyo siwawezi... slaa ni rais wa kuchukua wake za watu tu . magogoni kuna wenyewe . kama una bisha tunaweza ku bet kwa kuwekeana hela .