Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Willbrord Slaa
Ni kiongozi ambae ameweza amethubutu kutoka azarani na kuzivumbua shida za. Watanzania na kueleza shida kero na matatizo yaliojificha yanayowakabili Watanzania Kitu ambacho. Lowasa atokiweza kwa sababu tayari ana Kashfa nyingi za. Ufisadi Kwa Slaa Watanzania wote tuseme anaweza. Yes we can
 
"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi. Kama unapenda sura yake basi ne...nda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu. Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini mtakumbuka mke wa Kaisari alipotuhumiwa kwa ugoni Kaisari akaagiza uchunguzi ufanyike. Uchunguzi ukafanyika na ikabainika kwamba sio kweli. Lakini Kaisari bado akamuacha, akasema mke wa Kaisari hapaswi hata kutuhumiwa.
Na sisi hapa Mgombea wetu hapaswi hata kutuhumiwa wakati wapo wengine safi ambao hawana tuhuma. Kama mkimteua huyo mimi sitapiga kampeni. Siko tayari kumsafisha mtu matope halafu ndio nimuombee kura. Hapana kabisa. Huyu mimi najua si msafi na nchi nzima inajua si msafi. Hafai kuwa mgombea wetu."
- Mwl. Julius Nyerere, NEC Dodoma, Juni 1995
Aya sasa wapiga Debe ninyi mnasemaje?

Yaan sawasawa ufananishe Mlima Kilimanjaro na Kichuguu
Lowassa Mlima na Padri ni Kichuguu
 
Willbrord Slaa
Ni kiongozi ambae ameweza amethubutu kutoka azarani na kuzivumbua shida za. Watanzania na kueleza shida kero na matatizo yaliojificha yanayowakabili Watanzania Kitu ambacho. Lowasa atokiweza kwa sababu tayari ana Kashfa nyingi za. Ufisadi Kwa Slaa Watanzania wote tuseme anaweza. Yes we can

Kwan 2nahtaji kiongoz wa kutuhubiria matatizo yetu kila cku?? 2nahtaji mtatuaji sio mtangazaji
 
"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi. Kama unapenda sura yake basi ne...nda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu. Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini mtakumbuka mke wa Kaisari alipotuhumiwa kwa ugoni Kaisari akaagiza uchunguzi ufanyike. Uchunguzi ukafanyika na ikabainika kwamba sio kweli. Lakini Kaisari bado akamuacha, akasema mke wa Kaisari hapaswi hata kutuhumiwa.
Na sisi hapa Mgombea wetu hapaswi hata kutuhumiwa wakati wapo wengine safi ambao hawana tuhuma. Kama mkimteua huyo mimi sitapiga kampeni. Siko tayari kumsafisha mtu matope halafu ndio nimuombee kura. Hapana kabisa. Huyu mimi najua si msafi na nchi nzima inajua si msafi. Hafai kuwa mgombea wetu."
- Mwl. Julius Nyerere, NEC Dodoma, Juni 1995
Aya sasa wapiga Debe ninyi mnasemaje?

Mh kwa hali hii mbona 2takosa kiongozi??
 
Aisee hivi hatuchoki. Si tupumzike kidogo hadi angalau mwezi wa pili tuanze tena.
 
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.

Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.

NB😛iga kura bila kuendesha campaign yoyote.

Wakuu,ukienda hata kwenye ukurasa wa facebook kuhusu hii poll,utagundua tofauti baina ya hawa watu wawili ni sawa na mbingu na ardhi!

Hii poll hapa JF ni kioo tosha cha kuongoza vyama hivi wakati wa uteuzi utakapofika.

------------------------------------------------------------------

*Kwa maoni zaidi ya washiriki wa JamiiForums kupitia ukurasa wa Facebook - Dr. Wilbrod Slaa Vs Edward Lowassa (JamiiForums facebook page)
attachment.php


Tusiruhusu Chama Cha Upinzani Kuingia madarakani hata kidogo kwani CCM ni chama kinachojitoshereza sanaaaaaaaaaaaaa,,,wanaokiharibu ni wale wasiokitakia chama maendeleo mazuuuri lakin chama kitabaki pale pale kuwa ni chama imara sanaaaaa bali watu wachache waliomo katka chama ndo wanakiweka katika wakati mgumu kidogo.


CHA MSINGI NI KUWAJIBIKA NA WALE WACHACHE WALIOKO NDANI YA CHAMA WANAOKIHARIBU HIKI CHAMA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE.
 
JF, kama mtandao unaoheshimika nchini na kwingineko, ilifanya utafiti juu ya nafasi ya Dr. Wilbrod Peter Slaa na Edward Ngoyai Lowassa katika Urais wa nchi hii hapo 2015. Hakuna haja ya kufutilia tafiti za Twaweza na wengineo tukaacha tafiti yetu wenyewe.


Katika tafiti ya JF iliyoanzishwa na Mkuu Salary Slip katika uzi wa URAIS 2015: Dr. Willibrod Slaa vs Edward Lowassa, Dr. Slaa amemuacha mbali sana Lowassa. Natoa rai kwa wana-JF kujenga mazoea ya kuthamini ya kwetu kwanza. Matokeo kwa kifupi yalikuwa hivi:

Jumla ya kura zilizopigwa zilikuwa 720. Dr. Slaa amepata kura 597 sawa na asilimia 82.92%. Lowassa alipata kura 81 sawa na asilimia 11.25%. Kura 42 sawa na asilimia 5.83% zilikuwa za wote hawafai/sijaamua
 
Nachukua nafasi hii kueneza habari hii. Jamani nakuombeni tuipigie debe sana hasa mshikaji nakuomba Freeman Mbowe yapeleke mapendekezo haya Bungeni.

Nina imani kubwa kwamba tatizo la mafuta hasa nchi zetu za kiafrika ni tatizo la kujitakia! Kwa nini nasema hivi?

Kwanza kabisa ikiwa leo hao wataalamu wanaamini kwamba pombe inayotokana na mazao yetu (ethanol) inaweza kabisa kuendesha magari na mashine zote zinazotegemea petrol na diesel. Tunapozungumzioa swala la pombe nadhani sisi waafrika tuko mbele sana kwani hii ni jadi yetu toka Nabii Nuhu, sasa tunashindwa kutumia ujuzi na elimu tuliyojaaliwa bila kwenda darasani isipokuwa tunasubiri mzungu avumbue ndipo nasi tuanze kuiga! Huu ni upotofu wa viongozi wetu wasiokuwa wabunifu na wasiotakia kheri nchi yetu zaidi ya maslahi yao na utumwa wa mawazo. Brazil ambao walikuwa wakitegemea mafuta toka nje kwa asilimia 70, leo hii wamekaribia kabisa kujitegemea kwa matumizi ya ethanol... Sii jambo gumu ama laa ajabu!.. Who knows, labda Gongo linaweza kutuondoa ktk umaskini kuliko hiyo dhahabu.
Tazama tovuti hii ifuatayo na utaona hakuna kitu tunachoshindwa sisi kukifanya tena tukiweka na wasomi wetu ndio kabisaaa!

http://www.ethanolstill.com/

Hujaeleweka kwenye statistical data zako mkuu. Pangilia vizuri hayo matokeo ili yasomeke vizuri nani kapa nini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom