Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Dr wa ma Dr .....babu Slaa he deserve no matter what. 2015
 
Last edited by a moderator:
haaaa nikiongozwa na huyo shoga dr slaaa nahama nchi lowasaa atatupa mapyaa cccmmmm oyeee
 
Kumekuwa na poll nyng na ambazo znawataka watu kutoa maoni yao kuhusu wamtakaye au anayeweza kuwa raisi wa nchi kama uchaguz ungefanyika muda wowote.......wanaoelekea kupata kura nyng mpaka sasa ni Mh Edward Lowasa Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Monduli kutoka Chama tawala CCM pamoja na Willbroad Slaa wa Chadema.....
Sasa nawaomba kama unamkubali mmojawapo kati ya hao wawili: Wilbroad Slaa ama Mh. Edward Lowassa......utuambie sababu moja kubwa zaidi ambayo ingekushawishi kumpa kura.....kama unaweza kutupa zaidi pia inaruhusiwa
 
Kumekuwa na poll nyng na ambazo znawataka watu kutoa maoni yao kuhusu wamtakaye au anayeweza kuwa raisi wa nchi kama uchaguz ungefanyika muda wowote.......wanaoelekea kupata kura nyng mpaka sasa ni Mh Edward Lowasa Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Monduli kutoka Chama tawala CCM pamoja na Willbroad Slaa wa Chadema.....
Sasa nawaomba kama unamkubali mmojawapo kati ya hao wawili: Wilbroad Slaa ama Mh. Edward Lowassa......utuambie sababu moja kubwa zaidi ambayo ingekushawishi kumpa kura.....kama unaweza kutupa zaidi pia inaruhusiwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom