Dr Slaa Vs Lowassa

Dr Slaa Vs Lowassa

Mods mjulisheni Zitto, kuwa Dr.Slaa sio mtu tena ni taasisi yeye heshima kimataifa. Na wapambe wooooote mpeni taarifa hii ''Yuda'' wenu
 
Mods, igandisheni hii sred iwe page ya kwanza ili watu wapige kura kwa urahisi - maana inafika page za mbele watu wengine kuitafuta inakuwa ngumu
 
Hivi wale wanaojiita marafiki wa manywele wanajisikiaje wapisoma huu uzi????!!!
 
Mod's tunaomba muigandishe hii hoja katika first page ili watu waione kwa urahisi kushiriki upigaji wa kura tafadhali.
 
kuna kura zilizokua zinaendelea humu jf tangu muda tu kati ya dr slaa vs lowassa kwa ahadi may 21 watatoa matokeo,tunaomba ile treand irudishwe
 
Mnakaa hapa mnajidanganya, mnajitekenya na kucheka wenyewe. Ingieni hapa muone kura za wenzenu Maoni Yako
 
"Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi. Kama unapenda sura yake basi ne...nda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu. Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu! Lakini mtakumbuka mke wa Kaisari alipotuhumiwa kwa ugoni Kaisari akaagiza uchunguzi ufanyike. Uchunguzi ukafanyika na ikabainika kwamba sio kweli. Lakini Kaisari bado akamuacha, akasema mke wa Kaisari hapaswi hata kutuhumiwa.
Na sisi hapa Mgombea wetu hapaswi hata kutuhumiwa wakati wapo wengine safi ambao hawana tuhuma. Kama mkimteua huyo mimi sitapiga kampeni. Siko tayari kumsafisha mtu matope halafu ndio nimuombee kura. Hapana kabisa. Huyu mimi najua si msafi na nchi nzima inajua si msafi. Hafai kuwa mgombea wetu."
- Mwl. Julius Nyerere, NEC Dodoma, Juni 1995
Aya sasa wapiga Debe ninyi mnasemaje?
mkuu naona gazeti reeeefu kwani Nyerere nae alikua msafi kwa Akili yako?
mbona padri katuhumiwa sana kuanzia kuchukua Mke na ruzuku bila kusahau kujikopesha
 
Back
Top Bottom