Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
hope lowasa kama sokoine! ile lowasa lazima aendane na hali halisi ya sasa kwamba huwezi ukawa rais bila kutumia pesa! ata sokoine pengine angevuta subira kidogo apate urais then aanze ku deal na wale wahujumu uchumi but yeye alipata uwaziri mkuu tu akaanza shugul pevu ile then kilichotokea ndo ivo tena! so lowasa saiv lazima akae na mafisad vizuri aonekane kama wao pia lazima aibe pesa ili azitumie kuupata huo urais the baada ya hapo sasa ni kiamaaaaaaaaaa! sipat picha
 
hope lowasa kama sokoine! ile lowasa lazima aendane na hali halisi ya sasa kwamba huwezi ukawa rais bila kutumia pesa! ata sokoine pengine angevuta subira kidogo apate urais then aanze ku deal na wale wahujumu uchumi but yeye alipata uwaziri mkuu tu akaanza shugul pevu ile then kilichotokea ndo ivo tena! so lowasa saiv lazima akae na mafisad vizuri aonekane kama wao pia lazima aibe pesa ili azitumie kuupata huo urais the baada ya hapo sasa ni kiamaaaaaaaaaa! sipat picha

Acha maeleso malefu wewe!!! Sema nani...
 
Dr slaaa ikulu yako.tumpe lowassa akatuibie tena au alete tena richmond
yaan lowassa mfanyie ufisad mkeo cc watanzania tunayoipenda Tanzania kura hatukupi n'go
 
Ingelikuwa ku chati mtandaoni ndio ushindi kama cdm walisha chukuwa nchi nyambafu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom