Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Wengi wa Watanzania hawaoni mbali. Rushwa kwao ndiyo msingi wa kumpigia mtu debe. Kwa dhati kabisa CCM inatakiwa kuondolewa madarakani kwa uchafu unaoendelea katika nchi yetu wakiwa ndiyo Chama Tawala. Ufisadi, wizi wa fedha za umma, Ujangili, Fedha kutoenda kwenye Halmashauri kwa shughuli za maendeleo huku bajeti ilipitishwa na sababu nyingine nyingi ni sababu tosha ya kuondolewa madarakani tumweke Jembe Dr. Slaa anyoshe nchi hii.
 
Unawezaje ku-compare mtu mwadilifu na mtu mwizi, mlarushwa anayehonga wazi wazi? Tanzania tunakwisha!!!!!!!!!
 
Tutakutana katika sanduku la kura,hatujazoea kelele za kwenye mitandao ya kijamii.
 
dk. slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tukirudi 2010 inawezekana kama wanavyo dai babu slaaa alishinda . Lakini kwa migogoro hii CDM walio jianzishia na kuipalilia ili ikue vizuri sidhani kama kutakuwa na ndoto. ya kufanya vizuri kama si kubwagwa vibaya
Upande wa kamanda Lowasa uwezo upo anathubutu mwenyewe Anita maamuzi magumu . Kuutema u PM si kit cha mchezo je
hao jamaa zake CCM wanampaje wakati wanamjengea zengwe tangu alfajiri mpaka wa manane
tunamuona anaweza tatizo wanao taka wapo wengi labda Wanamzidi hata kwa zengwe
viva lowasa
 
Hapa wakuu EL apewe hii nchi so katiba ikigoma kupita ana maamuzi magumu kweli wala Hana porojo binafsi na mwombea mungu kila siku apite kashuswa mpaka chini hivyo mungu kumuinua tena inawezekana
 
Khaa!! Ya nini bana?? Ni kupoteza muda mbona wote hao hawamo kwenye list 2015!!
 
Khaa bongo bado sana kupiga kura mitandaoni. Wenye access ya mitandao siyo sample nzuri sana ya wapiga kura. Labda kwakujiliwaza tu
 
Polls.png
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom