Hii kura za Pro-Chadema JF na multiple IDs za kumwanga huwa zinamdanganya sana Dr.Slaa, kila siku anaibuka mshindi.
Akienda kwenye mahakama ya raia anashindwa vibaya mwisho wa siku analalamika Usalama wa Taifa wameiba kura zake.
Dr.Slaa hongera kwa ushindi wa JF watanzania wanakusubiri kwenye box la kura.
Mbona hata Taswira Mohamed Mwaupete, kimeta cha ufisadi Rais wa migomo ni mtu mmoja lakini ameshindwa kuokoa jahazi?
Mbona hata Taswira Mohamed Mwaupete, kimeta cha ufisadi Rais wa migomo ni mtu mmoja lakini ameshindwa kuokoa jahazi?