Ruttashobolwa, kwa ufahamisho tu; kati ya watu karibu milioni ishirini waliojiandikisha kupiga kura mwaka 2010, Jakaya Mrisho Kikwete aliambulia kura milioni tano tu! Ajabu ni kwamba pamoja na kupata robo tu ya wapiga kura, tume ya uchaguzi (CCM na TISS) ikamtangaza kama mshindi! Je umewahi kujiuliza kura zaidi ya milioni kumi na mbili zilipotelea wapi?