Delemy 004
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 407
- 145
Kwa hili Rais wangu mtarajiwa Dr Slaa umetuangusha !Gwajima muhuni hakutakiwa kujuliwa hali hawezi kumtukana mtakatifu wetu Pengo halafu aonyweshe upendo .no no big Nooo
Hakuna mkristo anayepaswa kufikiri kuhusu visasi.
Usijenge chuki na adui yake.
Mwombee heri na Mungu atahukumu kwa mapenzi yake.