Mu7
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,654
- 2,002
Asalaam aleykum !
Dr slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana alipomtembelea mtumishi wa bwana askofu Gwajima, hali ilikuwa shwari utulivu wa hali ya juu na ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu.
Nimejaribu kudadisi afya ya Gwajima inaonekana inaendelea vema na baadae tutajulishwa zaidi akipata nafuu na kuruhusiwa. Makachero wanamlinda Gwajima ila kivutio ulikuwa ujio wa Dr Slaa shughuli zilisimama na wagonjwa wakapata nafuu nakusema yuko wapi Rais wa mioyo ya watu tumshike mkono!
Ati "Mtumishi wa Bwana..." Bwana hatumikiwi na wenye midomo michafu kama huyu. Wewe na yeye mnamjua ni bwana yupi mnayemtumikia ila kwa hakika si Bwana Yesu Kristo!! Kweli siku za mwisho hizi maana hata ukianzisha kanisa la kubakana na kulawitiana humo humo kanisani hutakosa wafuasi wa kukuita Askofu na Nabii!!!