Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Dr. Slaa amtembelea Gwajima TMJ hospital

Vp ameenda nae kuombewa,kwa nn aende hospitali wakati huwa anawaombea watu kwa matatizo mbalimbali,mi nnadhani angeonesha kwa vitendo nfuvu ya anachokiamini na kukiaply kwa wngne,
 
Waumini gani wanaoshangaa? Labda wewe peke yako na hilo lilikuwa tamko la maaskofu sio waumini. Waumini tutaangalia ni nini tunataka, kupiga kura ya ndio au hapana linatuhusu sisi waumini sio maaskofu watuamulie pigeni kula ya hapana.

Mpaka nimefikia umri huu nafanya maamuzi mimi mwenyewe sio askofu anisurutishe, jamani Tanzania yetu ni ya demokrasia.

We SiimK mbona CCM inatuambia tupige kura ya ndiyo inamaana sisi hatujakuwa kama wewe?!
 
Kwa taarifa yenu tu ni kuwa Kadinali Pengo pia amepanga kwenda kumtembelea Gwajima kama hatakua ametoka hospital. Andaeni ya kuongea.

Kwa nnavowajua wakatoliki lazima pengo ataenda kumuona tu,maana wakatoliki huhubiri injili kwa vitendo tofauti na hao wanaohubiri injili kwa midomo na miujiza na kuongea maneno makuuuubwa ya sifa,afu mwisho wa siku wakitingwa wanajisalimisha hospitali,afu mbona alisema anaagiza makaika wamdhuru pengo,imekuaje sasa,Gwajima kawa ngazi ya pengo kumpendeza mungu hasa kwaresma hii,maana km pengo atasamehe na kwenda kujulia hali mtusi wake hakika mungu atapenda tendo hilo la huruma,hata john paul alifanya hvi pia kwa yule alompiga risasi,wakatoliki ndo zao
 
Niko hapa nawaza tu. Hivi tukiwa na mtu muhuni kama Gwajima anayetukana watu na kudai anatumia roho mtakatifu kutukana na hivyo kuwapotosha watu wengi wanaomfuata. Mtu kama huyu akitangulia mbele za haki kabla hajapotosha umati mkubwa wa watu itakuwa vibaya? Samahani lakini! Nawaza tu.
 
Tafuta matusi ya Gwajima kwa PENGO utakutana nalo

Kama nilivyosema hapo juu, mimi kwa ujumla sipatani na hao "manabii". Lakini Slaa anatukanwa kila siku sioni "Blowfish" Kova akiwakamata. Ingekuwa kila mtu ukitukana uende jela, basi kauli mbiu ingebadilishwa na kuwa "Jela Kwanza!"
 
Hatutaki kusikia anatatizo la kiafya ama kapandikiziwa kifo cha polepole na mapoliccm octoba ccm mtajuta.
 
We SiimK mbona CCM inatuambia tupige kura ya ndiyo inamaana sisi hatujakuwa kama wewe?!

We vipi kwani nimekuambia mimi nitapiga kura gani? Nimesema mimi mwenyewe ndio na maamuzi, CCM na Gwajima au maaskofu wengine ndio wanamakosa kuwaambia watu wafanye wanavyotaka wao.

Pengo yupo sawa alivyosema kila mmoja atachagua kadri Roho Mtakatifu atakavyowashauri kama ndio au hapana, na hiyo ndio Demokrasi.
 
Kikatiba mtu ana uhuru wa imani na kuabudu. Kuumfariji mgonjwa si suala la ndege wa aina moja. Hata ingekuwa Pengo bado angeenda tu.
Kwa nini watu Great thinkers wanajawa na mipasho kiasi hiki. we are sometimes very biased and subjective. with this kind of thinking, are we sure we are going to develop or destroy our nation?
 
Naamini kuna watu wengi tu humu wanaongea bila ya kuangalia alichosema Pengo.

Wana jamaa,aliye na alichoongea pengo atupie hapa ili kufanya wanaochangia kwa kiwa km watu chongo ambao wanaona nuru jicho moja waone na la upande wapili,pls pls
 
Mi nazani gwajima aende tu jela huenda ni mpango wa Mungu injili isambae mpaka magerezani.Hivyo namtia moyo asiogope sana
 
Kamani kweli, mimi pia naungana na rais mtarajiwa Muheshimiwa Dr, w. Slaa. Lakini, lakini, narudia tena lakini, lazma sheria ichukuwe mkondio wake ili akiliyake itulie asilete wehu wake kwenye mambo ya kitaifa ashughulikiwe ashike adabuyake. Hatumuhitaji mtu anaejifanya anatetea uzalendo kwa lugha za kijinga za matusi.
 
Asalaam aleykum !
Dr slaa ameonesha upendo wa hali ya juu sana alipomtembelea mtumishi wa bwana askofu Gwajima, hali ilikuwa shwari utulivu wa hali ya juu na ulinzi ukiwa umeimarishwa mara dufu.

Nimejaribu kudadisi afya ya Gwajima inaonekana inaendelea vema na baadae tutajulishwa zaidi akipata nafuu na kuruhusiwa. Makachero wanamlinda Gwajima ila kivutio ulikuwa ujio wa Dr Slaa shughuli zilisimama na wagonjwa wakapata nafuu nakusema yuko wapi Rais wa mioyo ya watu tumshike mkono!
Kwa hili Rais wangu mtarajiwa Dr Slaa umetuangusha !Gwajima muhuni hakutakiwa kujuliwa hali hawezi kumtukana mtakatifu wetu Pengo halafu aonyweshe upendo .no no big Nooo
 
Vipi jamani mtume kashaamka?tupeni maendeleo mlioko karibu hapo.
 
Tatizo Gwajima akiona macho ya misukule yake anajiona kama anahutubia dunia,haya mahojiano ya polisi sukari,presha,machozi na kupumua mfululizo kumempata.Nadhani akitoka itakuwa fundisho na atamuogopa mungu na hatojiita NABII tena!

We mbulula umevamia mada kwa hasira ingawa inaonyesha hujui chochote,hata huyo Gwajima mwenyewe humjui, uliwahi kusikia wapi Gwajima kajiita nabii?acha kuzua zua mambo hovyo kama mwanamke, Gwajima alimkemea pengo kwa kitendo cha pengo kuonyesha kuipigia debe mahakama ya kadhi ambayo walikubaliana kuipinga, yeye akasaliti, sasa wewe mbulula unatapika tu au unajisaidia? Malizia kujisaidia mkuu halafu uje tena
 
Picha ya Dr. Slaa kumtembelea Gwajima mbona hatuioni? Bado tunasubiri.
 
Back
Top Bottom