Arusha- Baada ya kuzomewa Kinana wafanyabiashara waondolewe

Arusha- Baada ya kuzomewa Kinana wafanyabiashara waondolewe

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
Arusha- baada ya Katibu Mkuu wa Ccm kutopokelewa vema na vijana wa Arusha wanao jishugulisha na biashara katika soko kuu la Arusha mjini katibu huyo wa ccm Kinana amewamuru mgambo na green gudes wawaondoe kwa nguvu nakuhakikisha hawaonekani tena katika eneo hilo

Hayo yalitokea Arusha wakati katibu huyo alipokua kwenye ziara yake Arusha. Alipita katika eneo hilo na vijana hao wakaanza kuimba nyimbo za ukombozi za Chadema na escrow escrow bila kusahau tunataka tembo wetu hayo ndio yaliyomkuta katibu huyo wa ccm nakuamuru vijana hao kuondolewa. Je kutounga ccm mkono ndio kuondolewa kwenye eneo lako la biashara?

Mwanahabari Huru
 
Weka picha za umati wa vijana hao wakimshangilia. Wamshangilie kwa lipi? Ukiukubali kweli utakuw amtu huru. Unafiki ni utumwa na kuukataa uhalisia ni kuishi kwenye ndoto!. Nani asiyetambua namna kiinana anavyodharaulika na kuchukiwa na kila mtu Tanzania?


huna lolote mupuuzi wewe! kinana hakuna mahali alipozomewa kila mahali alipopita alikuwa anashangiliwa na ummati wa watu!
 
huna lolote mupuuzi wewe! kinana hakuna mahali alipozomewa kila mahali alipopita alikuwa anashangiliwa na ummati wa watu!

Upuzi ni huo waliofanya kufukuza kwa hao vijana wanaofanya biashara hapo soko kuu maeneo ya kwenye kahawa.. na Utapeli aliofanya kwa Wamama na Wasani wa Arusha kua wajiunge na ccm watapewa mikopo
 
Yeye hana mamlaka ya kuwaamuru watu wahame.
Kwani yeye si katibu wa chama tu? Au anajiona kama waziri mkuu?
NB.Na ni tunahitai fidia ya tembo wetu.Atailipa tu.
 
Arusha- baada ya Katibu Mkuu wa Ccm kutopokelewa vema na vijana wa Arusha wanao jishugulisha na biashara katika soko kuu la Arusha mjini katibu huyo wa ccm Kinana amewamuru mgambo na green gudes wawaondoe kwa nguvu nakuhakikisha hawaonekani tena katika eneo hilo

Hayo yalitokea Arusha wakati katibu huyo alipokua kwenye ziara yake Arusha. Alipita katika eneo hilo na vijana hao wakaanza kuimba nyimbo za ukombozi za Chadema na escrow escrow bila kusahau tunataka tembo wetu hayo ndio yaliyomkuta katibu huyo wa ccm nakuamuru vijana hao kuondolewa. Je kutounga ccm mkono ndio kuondolewa kwenye eneo lako la biashara?

Mwanahabari Huru

Kinana ni mtoto wa mjini Arusha ...anajuwa wakiondolewa watu kwa amri yake watu wataenda nyumbani Kwao ..." Kuwauliza "

Yeye mwenye watu wamesaga naye Sana gomba pale Mtaa wa Swahili na kula ile kitu ya nyumbani ARAaaaa ....Enzi hizo ...a nawajuwa wakupenda kitu hawabadiliki Kama walivyompenda yeye na wanavyomheshimu
 
Yeye hana mamlaka ya kuwaamuru watu wahame.
Kwani yeye si katibu wa chama tu? Au anajiona kama waziri mkuu?
NB.Na ni tunahitai fidia ya tembo wetu.Atailipa tu.

Ndio maana wameanza kutapatapa
 
Kinana ni mtoto wa mjini Arusha ...anajuwa wakiondolewa watu kwa amri yake watu wataenda nyumbani Kwao ..." Kuwauliza "

Yeye mwenye watu wamesaga naye Sana gomba pale Mtaa wa Swahili na kula ile kitu ya nyumbani ARAaaaa ....Enzi hizo ...a nawajuwa wakupenda kitu hawabadiliki Kama walivyompenda yeye na wanavyomheshimu
Arusha hawalei wazee wa pembe
 
Mods kwanini habari chonganishi na za kuzusha kama hizi mnaziacha???
 
Arusha- baada ya Katibu Mkuu wa Ccm kutopokelewa vema na vijana wa Arusha wanao jishugulisha na biashara katika soko kuu la Arusha mjini katibu huyo wa ccm Kinana amewamuru mgambo na green gudes wawaondoe kwa nguvu nakuhakikisha hawaonekani tena katika eneo hilo

Hayo yalitokea Arusha wakati katibu huyo alipokua kwenye ziara yake Arusha. Alipita katika eneo hilo na vijana hao wakaanza kuimba nyimbo za ukombozi za Chadema na escrow escrow bila kusahau tunataka tembo wetu hayo ndio yaliyomkuta katibu huyo wa ccm nakuamuru vijana hao kuondolewa. Je kutounga ccm mkono ndio kuondolewa kwenye eneo lako la biashara?

Mwanahabari Huru

Kweli Kinana ni Futuhi ndio Maana michezo ya Fisi haitaisha
 
huna lolote mupuuzi wewe! kinana hakuna mahali alipozomewa kila mahali alipopita alikuwa anashangiliwa na ummati wa watu!

ashangiliwe kwa lipi....wakati anazunguka nchi nzima kulaumu serikali ya ccm
 
Weka picha za umati wa vijana hao wakimshangilia. Wamshangilie kwa lipi? Ukiukubali kweli utakuw amtu huru. Unafiki ni utumwa na kuukataa uhalisia ni kuishi kwenye ndoto!. Nani asiyetambua namna kiinana anavyodharaulika na kuchukiwa na kila mtu Tanzania?
hawezi kuweka maana picha za watu wanaozomea hazina tofauti na wanaoshangilia labda atupandishie video
 
huna lolote mupuuzi wewe! kinana hakuna mahali alipozomewa kila mahali alipopita alikuwa anashangiliwa na ummati wa watu!

labda hujui tofauti ya kuzomea na kushangilia maana ukweli yote Ni makelele lakini nikuhakikishie tu kinana alirushiwa mawe akiwa sakina akitokea Arumeru Magharibi juu...
 
Back
Top Bottom